mke wa mtu ananipenda

we mle tu then u wait mumewe ajue ukutumie minjemba ya mogadishu ije ikubake. Ndio uje tena usimulie hapa Jf
 
Mimi nadhani umepata ushauri wa kukutosha sana. Umeona trend ya mawazo ya watu ikoje. wewe ukitembea na mke/mume wa mtu, basi uwe tayari ku face consequnces, na wala usipoteze muda wako kuja hapa kutafuta ushauri!
 
ni nini mbaya na wake za watu siku hizi? mbona wanawataka taka sana wakak wa watu...
 
Huyo kicheche hata wewe ukisafiri ataenda kwa mwingine na kumtamkia hivyo hivyo, wapo madem wengi sana wanatabia hiyo....oo mume wangu kasafiri...ooo mume wangu ana bi mdogo....ooo mume wangu hawezi mechi..! be carefull man .
Jamani JF hebu nisaidieni,kuna mke wa mtu ananipenda, yaani kanitamkia mwenyewe kwamba nafanana na mumewe aliye masomoni nje ya nchi. Nilipomuuliza zaidi anataka nini akaniambia kwamba nimpe kampani kwa sasa kwamba hata mumewe akifahamu hawezi kumlaumu kwa sababu nimefanana naye sana. Kiukweli naogopa make hata mie nina mke lakini siku zinavyokwenda nahisi nitashindwa kustahimili. Make twafanya kazi pamoja na ni mtu wa nyumbani ambaye kila mtu amezoea kutuona tukiwa pamoja. Hebu wanaume na wanawake wenye kuyajua mambo nishaurini niupukeje huu mtihani..walaaaah mgumu...
 
Back
Top Bottom