Huwa anapenda love storykwahiyo wewe huwa una mjibuje??
nikwambie cha kufanya.
Chukua huyunataka hawala wa kurea watoto yangu
[emoji106]Tafuta single isiletee watu matanga buree. Hachana nae shetani huyo.
nilikua naimba tu jamanimhhhh tafuta vilainishi mkuu hata vaseline utakuja umbuka??? hakuna kushare hiyo kitu ati.
halafu unaniogopesha nikija kwenye tongozo kumbe utakula na ndugu zangu aseee.
mhhhh ngoja nitafakari.
so akikutia hasira unataka kufanyaje? kumbe uamuz unao unakuja tusumbua bure huku?Thus y naogopa ila mume wake ananitukana so ananitia hasira
mhhhhh jaman jaman.nilikua naimba tu jamani
nimeipenda hiiTafuta single isiletee watu matanga buree. Hachana nae shetani huyo.
Mpe makavu mwambie anakuweka na atakuweka ktk mazingira hatalishi.Xx Mkuu nitavunja VP asiwasiliane na mm
nataka jibuHuwa anapenda love story
hahahha. karibu.mhhh jamani jamani taratibu na hayo maneno tunataka ndoa zidumu ati.
acha kumchochea nakuomba. nitakupitia ofisini nikuombe vizuri uache hii tabia.
hahahahahhaahha
Jamani kuna mke wa mtu anataka niwe hawara wake ananitumia picha zake za uchi, juzi mumewe ameona text zangu ananiomba niachane na mkewe ila mkewe ananilazimisha mpaka ameamua kutumia simu ya ndugu yake ili mumewe asijue, ila mimi naogopa kula mzigo wa mtu nifanyeje ili anielewe bila kunichukia?
Nijibu kilngana na swali aliloulizanataka jibu
sio maongezi..
anapokutaka wewe huwa unamjibuje
Come inboxnipe namba yake nikusaidie kumkula...ana genye na wewe una mbwelambwela utadhani dyudyu yako umeiacha nyumbani.
LETE NAMBA YA KE PM NIKMSAIDIE KUMKUNA ATAKUWA ANAWASHWA KIPELE....