Mke wa mtu ananiomba niwe hawara wake

Mke wa mtu ananiomba niwe hawara wake

tetestaly

Senior Member
Joined
Sep 10, 2015
Posts
126
Reaction score
59
Jamani kuna mke wa mtu anataka niwe hawara wake ananitumia picha zake za uchi, juzi mumewe ameona text zangu ananiomba niachane na mkewe ila mkewe ananilazimisha mpaka ameamua kutumia simu ya ndugu yake ili mumewe asijue, ila mimi naogopa kula mzigo wa mtu nifanyeje ili anielewe bila kunichukia?
 
Jamani kuna mke wa mtu anataka niwe awala wale ananitumia picha zake za uchi, juzi mumeo ameona txt zng ananiomba niachane na mkeo ila mkeo ananilazimisha mpaka amemua kutumia simu ya ndugu yake ili mumeo asijue, ila Mimi naogopa kula mzigo wa mtu nifanyaje ili anielewe bila kunichukia?
andika vizuri halafu acha huo mchezo. Magu amekataza vilainishi ujue.

nimetumia tu akili kuelewa ila msg yako haileweki vizuri. au ndo ushakamatwa na mwenye mali? maana waweza sahau kuandika vzr
 
Kila mla cha mwenzake na chake huliwa... Boko wala wenzio basi boko nawe utaliwa...
Bora mumewe kashakupa onyo.. Kaa mbali.. Afadhal hata kama angekua hajakwambia..
 
andika vizuri halafu acha huo mchezo. Magu amekataza vilainishi ujue.

nimetumia tu akili kuelewa ila msg yako haileweki vizuri. au ndo ushakamatwa na mwenye mali? maana waweza sahau kuandika vzr
Mkuu wp unakwama??? Na vilainishi VP tena
 
sikuhizi wanasema hainaga ushemeji bro!!....ngoja siku udakwe na mwenye mzigo wake utaomba pooo!
 
Jamani kuna mke wa mtu anataka niwe awala wale ananitumia picha zake za uchi, juzi mumeo ameona txt zng ananiomba niachane na mkeo ila mkeo ananilazimisha mpaka amemua kutumia simu ya ndugu yake ili mumeo asijue, ila Mimi naogopa kula mzigo wa mtu nifanyaje ili anielewe bila kunichukia?
Mbuzi kafia kwa mtengeneza supu tengeneza supu.
 
Jamani kuna mke wa mtu anataka niwe awala wale ananitumia picha zake za uchi, juzi mumeo ameona txt zng ananiomba niachane na mkeo ila mkeo ananilazimisha mpaka amemua kutumia simu ya ndugu yake ili mumeo asijue, ila Mimi naogopa kula mzigo wa mtu nifanyaje ili anielewe bila kunichukia?
Kwa hii lugha uliyotumia hapa, hakuna ubishi kwamba wewe ni mgeni wa hili taifa.Mimi nasema mgeni karibu sana, ila vilainishi haviruhusiwi hapa TZ...kila la kheri kwa huyo mke wa mtu.
 
Mpelekee ripoti polisi ndio ataacha kukufata nalabda riafande litatafuna yeye
 
Hainaga ushemeji kula tu Mkuu hawa wameumbwa kwa ajiri yetu mie mwenyewe ninae mmoja nampakuaga kama sina akili nzuri
 
Jamani kuna mke wa mtu anataka niwe awala wale ananitumia picha zake za uchi, juzi mumeo ameona txt zng ananiomba niachane na mkeo ila mkeo ananilazimisha mpaka amemua kutumia simu ya ndugu yake ili mumeo asijue, ila Mimi naogopa kula mzigo wa mtu nifanyaje ili anielewe bila kunichukia?
DONT
 
Back
Top Bottom