Rubiii jaman mbona huna mpya siku hizi huna nn?whts wrong with you?STORY YAKO INATUFUNDISHA NINI? AU POROJO TU
Ungemkataza Braza, Alafu Ungemkemea Kwa Jina La Yesu......Kukimbilia Hapa, Aujamsaidia Braza.nina kaka yangu kaja juzi tu kunitembelea hapa ninapokaa kumbe kuna mke wa mtu alikuwa anammezea mie nilikuwa sijui sasa leo ndo ananiambia mtoto kakubari ndo anaenda kumla usiku huu,mme wake kazi zake za shifti sasa leo brother anaenda kumsaidia majukumu mwanaume mwenzie daah yaaani hapa nimepigwa nabutwaa huenda namie nikioa ntamegewa kama ndo hivi
Aisee, ila maisha yalivyo ya ajabu anaweza asile wa mtu lakini wakwake akachakachuliwa vizuri tu.Mbaya sana ,,jitahidi na wewe usile wawenzako maana wakwako na yeye ataliwa ,,,