kwa ufupi ni kwamba WEWE UKO HAPO KANISANI KIMASLAI LKN ROHO YK IKO KWENYE MAMBO YA DUNIA,
wewe ni yule mtumishi wa mungu kicheche, hakuna suala la kukupa mawazo ila unajuwa nini la kufanya
Sijawahi sikia mtumishi wa mungu anatumia neno kama kukamuliwa......
acha uoga jiamini