Mke wa mtu amenitega...

MUHOGOJ

Member
Sep 13, 2011
11
3
Wana jamvi Heri ya Mwaka mpya,
Siku ya tarehe 31 Dec. 2011, nilikuwa mahali fulani kanisani kwa ajili ya maandalizi ya kuuaga mwaka 2011. Mara akanifuata mdada mmoja ambaye tunafahamiana, na kwa bahati mimi ni mmoja wa viongozi wa kanisa. Akaniambia kuna ishu anataka kuniambia, nikamwambia ok niambie akasema hawezi kulisema hadharani, nikamwambia twende ofisini (ofisi ya kanisa) nikusikilize, akasema hapana ni private ussue. Nikasema sasa hiyo ishue imekaaje? Akasema labda tusimame pembeni tuu nikunong'oneze.

Tuliposogea pembeni akasema amepigiwa simu na mume wake kuwa kuna mtu alituona nikiwa natoka naye gesti siku ya tarehe 26 Dec. na amemwambia. Nikapigwa na butwaa kwa sababu siku hiyo tulikuwa tumeshinda kanisani na wachungaji kwa ibada maalum na watu wote wanajua hilo. Pia sikuwahi hata kuchat naye na hata namba yake ya simu sina sasa nikaanza kuwaza sana huu umbea umetokea wapi? Akasema hata yeye hajui na kusisitiza kuwa itabidi huyo mtu atafutwe pamoja na mumuwe tukae tutatue hilo tatizo. Mii nikasema ok.

Baada ya pale nikamtafuta rafiki yangu mmoja ambaye huwa namwamini sana nikampa issue yote. Akacheka sana, akaniambia huyo mdada kwanza haishi na mume wake japo wako sehemu (mji) mmoja, na kuongeza kuwa anakamuliwa na watu wafuatao (akaanza kutaja, nikashtuka maana ninawafahamu), akaongezea kuwa hata mumewe anajua na hata mama mtu anajua kuwa bintiye anakamuliwa na hao watu. Mumewe akimhitaji wanakutana sehemu tuu basi af binti anarudi kwa mamaye.

Huyu rafiki yangu akanihakikishia kuwa speed ya hao wanaomkamua imepungua sasa hivi kwa hiyo hapo anakuzunguka ili apate gia ya kukuingia. Akanipa strategy ya kuthibitisha hilo na nikakubaliana naye na baada ya siku kama tatu hivi nikathibitisha kuwa ni kweli yuko tayari nimkamue.
Ukweli siko tayari kufanya hillo, na sasa nawaza sana itakuwaje nikikataa hatanichafulia jina?
 
Jaribu kukemea huyo pepo wa ngono anae taka kukunyemelea ashindwa kwa jina la Yesu
 
Huyo ni ibilisi anakunyemelea.pepo mchafu tokaaaaaaaaaaaaaaaa kwa jina la yesu na uhakika sasa kila kitu kitaenda sawa
 
Kama hujafanya chochote atakuchafuliaje jina? Au hiyo process ya kuthibitisha ilikua sio halali? Jibu kwanza swali la Babu DC hapo juu...
 
Ulithibitishaje?

Umeacha story inaelea hewani...Imalizie kwanza!

Ulithibitishaje? Jibu swali. Halafu hiyo ishu ni rahisi sana. Mwangalie tu kama anafaa kwa matumizi ya binadamu kisha mkamue! Kula ni kula tu, vibaya kukomba mboga!
 
Ukweli siko tayari kufanya hillo, na sasa nawaza sana itakuwaje nikikataa hatanichafulia jina?
yani ww kweli ni mtumishi wa kanisa au umezuga au story sio yako may be umepewa kisa mana ungekua kweli ni mtumishi wa huko ulikosema hua hawasitaki hawa watu kabisa ni angeanza kukemea hapo hapo au kama ni muhuni angepiga kimya kimya wala asingesimulia muumini hata mmoja sasa ww ni nani mana sio mtumishi kabisaaaaaa..........sorry kama nimekuinterrupt
 
duh ... inasikitisha kutoa habari ambayo haina mwelekeo wala mwendelezo .. sasa hapo umetegwa vipi ???
maana ya kukutege ingelikuwa kwa matendo na maneno lakini hiyo njia uliyotumia ya kutongozana kwenye maeneo ya kanisa inasikitisha sana .. hukwenda kwenye ibada na unajivika vyeo vya utumishi wakati hauko hivyo.. sasa unachoogopa ni kitu gani si ullimtongoza kwa kuamini ndo njia sahihi unategemea ushauri gani kutoka kwetu hadi sasa?
 
Wana jamvi Heri ya Mwaka mpya,
Siku ya tarehe 31 Dec. 2011, nilikuwa mahali fulani kanisani kwa ajili ya maandalizi ya kuuaga mwaka 2011. Mara akanifuata mdada mmoja ambaye tunafahamiana, na kwa bahati mimi ni mmoja wa viongozi wa kanisa. Akaniambia kuna ishu anataka kuniambia, nikamwambia ok niambie akasema hawezi kulisema hadharani, nikamwambia twende ofisini (ofisi ya kanisa) nikusikilize, akasema hapana ni private ussue. Nikasema sasa hiyo ishue imekaaje? Akasema labda tusimame pembeni tuu nikunong'oneze.

Tuliposogea pembeni akasema amepigiwa simu na mume wake kuwa kuna mtu alituona nikiwa natoka naye gesti siku ya tarehe 26 Dec. na amemwambia. Nikapigwa na butwaa kwa sababu siku hiyo tulikuwa tumeshinda kanisani na wachungaji kwa ibada maalum na watu wote wanajua hilo. Pia sikuwahi hata kuchat naye na hata namba yake ya simu sina sasa nikaanza kuwaza sana huu umbea umetokea wapi? Akasema hata yeye hajui na kusisitiza kuwa itabidi huyo mtu atafutwe pamoja na mumuwe tukae tutatue hilo tatizo. Mii nikasema ok.

Baada ya pale nikamtafuta rafiki yangu mmoja ambaye huwa namwamini sana nikampa issue yote. Akacheka sana, akaniambia huyo mdada kwanza haishi na mume wake japo wako sehemu (mji) mmoja, na kuongeza kuwa anakamuliwa na watu wafuatao (akaanza kutaja, nikashtuka maana ninawafahamu), akaongezea kuwa hata mumewe anajua na hata mama mtu anajua kuwa bintiye anakamuliwa na hao watu. Mumewe akimhitaji wanakutana sehemu tuu basi af binti anarudi kwa mamaye.

Huyu rafiki yangu akanihakikishia kuwa speed ya hao wanaomkamua imepungua sasa hivi kwa hiyo hapo anakuzunguka ili apate gia ya kukuingia. Akanipa strategy ya kuthibitisha hilo na nikakubaliana naye na baada ya siku kama tatu hivi nikathibitisha kuwa ni kweli yuko tayari nimkamue.
Ukweli siko tayari kufanya hillo, na sasa nawaza sana itakuwaje nikikataa hatanichafulia jina?

Tukushauri nini wakati we mwenyewe unakisebusebu na kiroho papohapo?, Hutaki nataka , hujui hata kama ni dhambi unachoogopa wewe ni kuchafuliwa jina tu! Rafiki yangu huo uhuru wako usiwe sababu ya kuufuata mwili.
 
Wana jamvi Heri ya Mwaka mpya,
Siku ya tarehe 31 Dec. 2011, nilikuwa mahali fulani kanisani kwa ajili ya maandalizi ya kuuaga mwaka 2011. Mara akanifuata mdada mmoja ambaye tunafahamiana, na kwa bahati mimi ni mmoja wa viongozi wa kanisa. Akaniambia kuna ishu anataka kuniambia, nikamwambia ok niambie akasema hawezi kulisema hadharani, nikamwambia twende ofisini (ofisi ya kanisa) nikusikilize, akasema hapana ni private ussue. Nikasema sasa hiyo ishue imekaaje? Akasema labda tusimame pembeni tuu nikunong'oneze.

Tuliposogea pembeni akasema amepigiwa simu na mume wake kuwa kuna mtu alituona nikiwa natoka naye gesti siku ya tarehe 26 Dec. na amemwambia. Nikapigwa na butwaa kwa sababu siku hiyo tulikuwa tumeshinda kanisani na wachungaji kwa ibada maalum na watu wote wanajua hilo. Pia sikuwahi hata kuchat naye na hata namba yake ya simu sina sasa nikaanza kuwaza sana huu umbea umetokea wapi? Akasema hata yeye hajui na kusisitiza kuwa itabidi huyo mtu atafutwe pamoja na mumuwe tukae tutatue hilo tatizo. Mii nikasema ok.

Baada ya pale nikamtafuta rafiki yangu mmoja ambaye huwa namwamini sana nikampa issue yote. Akacheka sana, akaniambia huyo mdada kwanza haishi na mume wake japo wako sehemu (mji) mmoja, na kuongeza kuwa anakamuliwa na watu wafuatao (akaanza kutaja, nikashtuka maana ninawafahamu), akaongezea kuwa hata mumewe anajua na hata mama mtu anajua kuwa bintiye anakamuliwa na hao watu. Mumewe akimhitaji wanakutana sehemu tuu basi af binti anarudi kwa mamaye.

Huyu rafiki yangu akanihakikishia kuwa speed ya hao wanaomkamua imepungua sasa hivi kwa hiyo hapo anakuzunguka ili apate gia ya kukuingia. Akanipa strategy ya kuthibitisha hilo na nikakubaliana naye na baada ya siku kama tatu hivi nikathibitisha kuwa ni kweli yuko tayari nimkamue.
Ukweli siko tayari kufanya hillo, na sasa nawaza sana itakuwaje nikikataa hatanichafulia jina?
mkamue mwaya asije akakuchafua bureeee.
wakuu wa kanisa wa siku izz mmh.
haya kamkamue.
 
hahahaaa unasema mtu wa kanisa na unashinda kwa kanisa au ndio yale makanisa ya biashara???
sa si bora ukae tu nyumbani kwako kwani mwamchezea Mungu
naona kanisa lako linahubiri ngono na uzinzi.
sishangai lipo kanis amoja pale tabata mchungaji wake mkenya
huwa wanakesha kanisani na usiku wanazima taa maombi yakolee vema hapo kila mmoja anambusu wake na kula panya
afu mchungaji mwenyewe amejaa tatoo mwili mzima na amekodi chumba chake ktk baa moja pale tabata changombe
wanaokaa tabata mtajua hili na bar ninayoisemea hapa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom