Wana jamvi Heri ya Mwaka mpya,
Siku ya tarehe 31 Dec. 2011, nilikuwa mahali fulani kanisani kwa ajili ya maandalizi ya kuuaga mwaka 2011. Mara akanifuata mdada mmoja ambaye tunafahamiana, na kwa bahati mimi ni mmoja wa viongozi wa kanisa. Akaniambia kuna ishu anataka kuniambia, nikamwambia ok niambie akasema hawezi kulisema hadharani, nikamwambia twende ofisini (ofisi ya kanisa) nikusikilize, akasema hapana ni private ussue. Nikasema sasa hiyo ishue imekaaje? Akasema labda tusimame pembeni tuu nikunong'oneze.
Tuliposogea pembeni akasema amepigiwa simu na mume wake kuwa kuna mtu alituona nikiwa natoka naye gesti siku ya tarehe 26 Dec. na amemwambia. Nikapigwa na butwaa kwa sababu siku hiyo tulikuwa tumeshinda kanisani na wachungaji kwa ibada maalum na watu wote wanajua hilo. Pia sikuwahi hata kuchat naye na hata namba yake ya simu sina sasa nikaanza kuwaza sana huu umbea umetokea wapi? Akasema hata yeye hajui na kusisitiza kuwa itabidi huyo mtu atafutwe pamoja na mumuwe tukae tutatue hilo tatizo. Mii nikasema ok.
Baada ya pale nikamtafuta rafiki yangu mmoja ambaye huwa namwamini sana nikampa issue yote. Akacheka sana, akaniambia huyo mdada kwanza haishi na mume wake japo wako sehemu (mji) mmoja, na kuongeza kuwa anakamuliwa na watu wafuatao (akaanza kutaja, nikashtuka maana ninawafahamu), akaongezea kuwa hata mumewe anajua na hata mama mtu anajua kuwa bintiye anakamuliwa na hao watu. Mumewe akimhitaji wanakutana sehemu tuu basi af binti anarudi kwa mamaye.
Huyu rafiki yangu akanihakikishia kuwa speed ya hao wanaomkamua imepungua sasa hivi kwa hiyo hapo anakuzunguka ili apate gia ya kukuingia. Akanipa strategy ya kuthibitisha hilo na nikakubaliana naye na baada ya siku kama tatu hivi nikathibitisha kuwa ni kweli yuko tayari nimkamue.
Ukweli siko tayari kufanya hillo, na sasa nawaza sana itakuwaje nikikataa hatanichafulia jina?
Siku ya tarehe 31 Dec. 2011, nilikuwa mahali fulani kanisani kwa ajili ya maandalizi ya kuuaga mwaka 2011. Mara akanifuata mdada mmoja ambaye tunafahamiana, na kwa bahati mimi ni mmoja wa viongozi wa kanisa. Akaniambia kuna ishu anataka kuniambia, nikamwambia ok niambie akasema hawezi kulisema hadharani, nikamwambia twende ofisini (ofisi ya kanisa) nikusikilize, akasema hapana ni private ussue. Nikasema sasa hiyo ishue imekaaje? Akasema labda tusimame pembeni tuu nikunong'oneze.
Tuliposogea pembeni akasema amepigiwa simu na mume wake kuwa kuna mtu alituona nikiwa natoka naye gesti siku ya tarehe 26 Dec. na amemwambia. Nikapigwa na butwaa kwa sababu siku hiyo tulikuwa tumeshinda kanisani na wachungaji kwa ibada maalum na watu wote wanajua hilo. Pia sikuwahi hata kuchat naye na hata namba yake ya simu sina sasa nikaanza kuwaza sana huu umbea umetokea wapi? Akasema hata yeye hajui na kusisitiza kuwa itabidi huyo mtu atafutwe pamoja na mumuwe tukae tutatue hilo tatizo. Mii nikasema ok.
Baada ya pale nikamtafuta rafiki yangu mmoja ambaye huwa namwamini sana nikampa issue yote. Akacheka sana, akaniambia huyo mdada kwanza haishi na mume wake japo wako sehemu (mji) mmoja, na kuongeza kuwa anakamuliwa na watu wafuatao (akaanza kutaja, nikashtuka maana ninawafahamu), akaongezea kuwa hata mumewe anajua na hata mama mtu anajua kuwa bintiye anakamuliwa na hao watu. Mumewe akimhitaji wanakutana sehemu tuu basi af binti anarudi kwa mamaye.
Huyu rafiki yangu akanihakikishia kuwa speed ya hao wanaomkamua imepungua sasa hivi kwa hiyo hapo anakuzunguka ili apate gia ya kukuingia. Akanipa strategy ya kuthibitisha hilo na nikakubaliana naye na baada ya siku kama tatu hivi nikathibitisha kuwa ni kweli yuko tayari nimkamue.
Ukweli siko tayari kufanya hillo, na sasa nawaza sana itakuwaje nikikataa hatanichafulia jina?