Mke wa mtu ameniganda

Mke wa mtu ameniganda

uncledalali

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2014
Posts
249
Reaction score
118
Nina uhusiano wa kimapenzi na mke wa mtu.Kipindi tunaanza uhusiano nlikuwa sijui kama ni mke wa mtu na yeye alinificha lakini nmekuja gundua ni mke wa mtu na nataka nimteme,tatizo sasa demu hataki anadai yuko tayar kuachana na mumewe ili awe na mm! Mm simtaki coz amenizidi age xna kama miaka7.ushauri wako tafadhari..
 
Endelea tu mimi ntakua MC siku mtakapo gandana.
 
Nina uhusiano wa kimapenzi na mke wa mtu.Kipindi tunaanza uhusiano nlikuwa sijui kama ni mke wa mtu na yeye alinificha lakini nmekuja gundua ni mke wa mtu na nataka nimteme,tatizo sasa demu hataki anadai yuko tayar kuachana na mumewe ili awe na mm! Mm simtaki coz amenizidi age xna kama miaka7.ushauri wako tafadhari..

Kwa kuwa ndio tabia yake hata akimtema mumewe akawa na wewe basi atajiiba kwa mtu mwingine na hatimaye atahamia huko kwingine.
 
so wewe hutaki kwa sababu kakuzidi umri au?
Umesema mi sitaki kwa sababu kanizid age si ndo hivyo. Mke wa mtu sumu ndugu yangu.
 
Hahahahaaaaa.... Ushaweka kabang yako rehani...!!!
Run for your safety.
 
Nina uhusiano wa kimapenzi na mke wa mtu.Kipindi tunaanza uhusiano nlikuwa sijui kama ni mke wa mtu na yeye alinificha lakini nmekuja gundua ni mke wa mtu na nataka nimteme,tatizo sasa demu hataki anadai yuko tayar kuachana na mumewe ili awe na mm! Mm simtaki coz amenizidi age xna kama miaka7.ushauri wako tafadhari..

wazo la kwanza embu fikiria kama atamwacha mumewe na kukufate wewe.je kutakuwa na ugumu gani wa yeye kukuacha wewe?
Pili, tayari umeshajua kuwa ni mke wa mtu huoni ni busara kwa wewe kwenda kutafuta mwanamke mwingine atakayekuwa mkeo.
Tatu. Jaribu kuwa mwanaume na usiwe mvulana. Kuwa na maamuzi yako. Mwambie mimi na wewe basi,kwani hatima yako wewe kimaisha iko kwenye maamuzi yako.
 
wazo la kwanza embu fikiria kama atamwacha mumewe na kukufate wewe.je kutakuwa na ugumu gani wa yeye kukuacha wewe?
Pili, tayari umeshajua kuwa ni mke wa mtu huoni ni busara kwa wewe kwenda kutafuta mwanamke mwingine atakayekuwa mkeo.
Tatu. Jaribu kuwa mwanaume na usiwe mvulana. Kuwa na maamuzi yako. Mwambie mimi na wewe basi,kwani hatima yako wewe kimaisha iko kwenye maamuzi yako.
ushauri mzuri!
 
wazo la kwanza embu fikiria kama atamwacha mumewe na kukufate wewe.je kutakuwa na ugumu gani wa yeye kukuacha wewe?
Pili, tayari umeshajua kuwa ni mke wa mtu huoni ni busara kwa wewe kwenda kutafuta mwanamke mwingine atakayekuwa mkeo.
Tatu. Jaribu kuwa mwanaume na usiwe mvulana. Kuwa na maamuzi yako. Mwambie mimi na wewe basi,kwani hatima yako wewe kimaisha iko kwenye maamuzi yako.

Asiposikiliza ushauri huu, anayo haki ya kulawitiwa, kuuawa, ....na mwenye mali.
 
wazo la kwanza embu fikiria kama atamwacha mumewe na kukufate wewe.je kutakuwa na ugumu gani wa yeye kukuacha wewe?
Pili, tayari umeshajua kuwa ni mke wa mtu huoni ni busara kwa wewe kwenda kutafuta mwanamke mwingine atakayekuwa mkeo.
Tatu. Jaribu kuwa mwanaume na usiwe mvulana. Kuwa na maamuzi yako. Mwambie mimi na wewe basi,kwani hatima yako wewe kimaisha iko kwenye maamuzi yako.

Asiposikiliza ushauri huu, kunayo haja ya kulawitiwa, kuuawa, ....na mwenye mali.
 
kwhyo mmenasana? si unajua ukinasa kalio linabaki wazi
 
Kwa jinsi ulivyojieleza wewe ndio unamuhitaji huyo mwanamke. Mwanzoni eti hukujua ni mke wa mtu na umri ndio umegundua leo? acha tamaaa itakucost
 
si kizembe kama unavyofikilia anaweza akageuziw yy

Basi endelea tu mkuu.....kumbe wewe mwenyewe ni kamanda,hupaswi kuogopa! unakula cha mtu halafu unatamba? dunia kubwa ndugu yangu...ukijiona wewe ni mjanja basi ujue kuna mjanja zaidi yako...usije kuja sema waliku**** kwa mbinde wakati huo watu watakuwa washakutatua marinda!!!
ushauri wangu achana naye hata kama una kifua kama kabati...mke wa mtu sumu na itabaki kuwa hivyo daima na hata kama mwenyewe anaonekana boyaboyA....huujui uchungu wa mke wewe!
 
Nina uhusiano wa kimapenzi na mke wa mtu.Kipindi tunaanza uhusiano nlikuwa sijui kama ni mke wa mtu na yeye alinificha lakini nmekuja gundua ni mke wa mtu na nataka nimteme,tatizo sasa demu hataki anadai yuko tayar kuachana na mumewe ili awe na mm! Mm simtaki coz amenizidi age xna kama miaka7.ushauri wako tafadhari..

Kuna kale kamziki...age is just numbers...tehe teh...hebu tujuze: issue ni kwa sababu umegundua ni mke wa mtu au kwa sababu amekuzidi umri by 7 yrs?
 
Back
Top Bottom