charger
JF-Expert Member
- Nov 21, 2010
- 2,320
- 1,373
hahahaha naomba u dj hapo
Usijali mkuu tutapiga kazi ote
hahahaha naomba u dj hapo
Nina uhusiano wa kimapenzi na mke wa mtu.Kipindi tunaanza uhusiano nlikuwa sijui kama ni mke wa mtu na yeye alinificha lakini nmekuja gundua ni mke wa mtu na nataka nimteme,tatizo sasa demu hataki anadai yuko tayar kuachana na mumewe ili awe na mm! Mm simtaki coz amenizidi age xna kama miaka7.ushauri wako tafadhari..
issue kubwa Age,mke wa mtu si issue coz yuko tayar kuachika (divorced).Kuna kale kamziki...age is just numbers...tehe teh...hebu tujuze: issue ni kwa sababu umegundua ni mke wa mtu au kwa sababu amekuzidi umri by 7 yrs?
For Promotional Use Only
Mke wa mtu ni sumu ila akijileta usione so we kula mzigo upate heshima.
Nina uhusiano wa kimapenzi na mke wa mtu.Kipindi tunaanza uhusiano nlikuwa sijui kama ni mke wa mtu na yeye alinificha lakini nmekuja gundua ni mke wa mtu na nataka nimteme,tatizo sasa demu hataki anadai yuko tayar kuachana na mumewe ili awe na mm! Mm simtaki coz amenizidi age xna kama miaka7.ushauri wako tafadhari..
Endelea tu mimi ntakua MC siku mtakapo gandana.
si kizembe kama unavyofikilia anaweza ak:roll::majani7: