Mke wa mpangaji mwenzangu kanifuma bafuni

Mke wa mpangaji mwenzangu kanifuma bafuni

Hii hali ilisha wahi nitokea wakati wife kaenda kwao kujifungua .Kuna single mother mpangaji mwenzangu alinivamia chooni maana ilikua jtatu nilikua sijaenda job na pale mazingila watu walikua wote wako kwenye mishe ilibidi niwe mpole nikamwambia tu usiku nitakuja chumbani kwako ndo mara ya kwanza kula dem bila kumtongoza .
 
Maisha ya baadhi ya watanzania ni ya shida sana. Unatoka kazini umechoka, ukirudi unaoga umeshikilia mlango.

Daah.. mkuu umenichekesha sana.. huo ndio uchumi wa kati mkuu 😂😂😂
 
Hii hali ilisha wahi nitokea wakati wife kaenda kwao kujifungua .Kuna single mother mpangaji mwenzangu alinivamia chooni maana ilikua jtatu nilikua sijaenda job na pale mazingila watu walikua wote wako kwenye mishe ilibidi niwe mpole nikamwambia tu usiku nitakuja chumbani kwako ndo mara ya kwanza kula dem bila kumtongoza .
Hahahaaaa mkuu sasa alipoingia akasema nn au mkaongea nn???
 
Hahahaaaa mkuu sasa alipoingia akasema nn au mkaongea nn???
Yaan alikua kesha fanya vituko vingi sana sasa ila sikujali ila sasa baada ya kuniona nikiwa uchi nikaona hii sasa ni dharau ndo maana nilivo mwambia nitakuja alifungaa mlango akaondoka na mm nilimtafuna kweli na huwezi amini mpaka alishika ujauzito wangu kwa hiyo kwa sasa ni mzazi mwenzangu,,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom