Mke wa Mjomba ananitaka kimapenzi

Mke wa Mjomba ananitaka kimapenzi

Sasaa unatangazaa ya nn badala yakula kimya kimya ,kaaaa kimyaaaaa
FB_IMG_1739306642191.jpg
 
Usukumani tunasema "shise na mami" yaani ni wetu na mjomba, wee kula haina shida hiyo

Zamani kijana ukionekana umekua na huna harakati za kutafta mademu ni mke wa mjomba ndo anatumwa kukupima kama atatoa majibu baada ya mgegedo kama ni mgonjwa unaanza dozi mara moja kama upo vzr unataftiwa mke chapu

Wasukuma wanaelewa!
 
Back
Top Bottom