, mkuu na-imagine ukitamka haya maneno na hiyo sura kwenye avatar yako. Dah jamaa hayupo serious kabisaYaani unataka msaada halafu mwanamke mwenyewe ni mke wa mtu?? Halafu umempa na mimba juu! Hapohapo baada ya miaka miwili unataka kumuacha! Tena bado akili yako inataka umuache hivihivi bila kumpa chochote.
Watu kama nyie hata mkigeuzwa bucha ni sawa tu