Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,596
- 45,225
Alikuwa masomoni jamaniiiMiaka 38,hujaoa?,unasubiri nini muda wote huo?.
Alikuwa masomoni jamaniiiMiaka 38,hujaoa?,unasubiri nini muda wote huo?.
HAHAHA NIMEKUELEWA SANA MKUUHuko ujerumani hukufundishwa kutongoza?
labda ukawafate kijijini wa "style" hiyo kama wapo.kuna watu umaskini tu ndo unawafanya wawe na tabia chafu
wewe hunitaki?labda ukawafate kijijini wa "style" hiyo kama wapo.
ila mashankupe ya mjini hapa si kweli utaisoma namba witiri hadi ukome.
wewe hunitaki?
Huko ujerumani hukufundishwa kutongoza?
Ujerumani, una hela za kutosha. Sawasawa..
Natamani kupata mwanamke wa kufunga nae ndoa mwaka huu, umri wangu ni miaka 38, sijawai kuoa wala kuzaa na mwanamke yoyote nilikuwa masomoni Ujerumani.
Mwanamke awe na umri wowote, dini yoyote, awe tu anajitambua hata kama ana tabia mbaya au ni single mother au ni divorced awe tayari kubadilika hela ninayo ya kutosha.
Uje inbox na wasifu wako na picha kuthibitisha kama kweli wewe ni mwanamke atakaewahi kama ana sifa zinazotakiwa nitamuoa siku si nyingi, muhimu HIV status uwe negative.
Bado tu hawajaja? Basi ngoja nije mie fastaa tutafune pesa za ujerumaniNatamani kupata mwanamke wa kufunga nae ndoa mwaka huu, umri wangu ni miaka 38, sijawai kuoa wala kuzaa na mwanamke yoyote nilikuwa masomoni Ujerumani.
Mwanamke awe na umri wowote, dini yoyote, awe tu anajitambua hata kama ana tabia mbaya au ni single mother au ni divorced awe tayari kubadilika hela ninayo ya kutosha.
Uje inbox na wasifu wako na picha kuthibitisha kama kweli wewe ni mwanamke atakaewahi kama ana sifa zinazotakiwa nitamuoa siku si nyingi, muhimu HIV status uwe negative.
Anazingua huyu,Ujerumani, una hela za kutosha. Sawasawa..