Zee zima bado unakaa na kaka yako? Kama umeweza kuingia humu JF ina maana wewe siyo mtoto tena tafuta kwako na ukome kabisa kuandika upuuzi kama huu humu ndani unajaza sever bure. Pumbavu sana.
Hapa unakosea bibie...ndiyo hapaswi kumfulia shemejiye...lakini mumewe ni lazima amfulie...maana hata vitabu vitakatifu vimesema wanawake ni wasaidizi wetu.....