Mke wa Kafulila arejesha Escrow bungeni, Chenge ashikwa na kigugumizi kujibu

Kibo10

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
11,277
8,859
Katika hali isiyokuwa ya kawaida na iliyomstua Mwenyekiti wa bunge Andrew Chenge.Mbunge wa CHADEMA ambaye ni mke wa Kafulila.

Ameibua sakata la Escrow kwa kumuliza Chenge" Inakuwaje TAKUKURU wamesisitiza kuwashughulikia wezi wa mali za umma na wale wa makontena lakini wezi wa Escrow hawajatajwa?

Swali hilo lilizua minong'ono baina ya wabunge huku Chenge akishikwa na kigugumizi kutoa majibu na kusema swala hilo sio la mwongozo.

My take: Wale mafisadi wa Escrow kama walidhani Kafulila kutokuwepo bungeni ni njia ya kuzima Escrow wamefeli mtihani.Walisahau Mke wa Kafulila ni mbunge na data zote anazo.
 
Haahaaahaa ,kuna kazi nyingine unaomba, ukipewa na kuanza majukumu unajta.

Mwenyekiti Chenge. Hivi kweli kuna mtu anategemea scandal yeyote ya nyuma inaweza kupata nafasi ya kujadiliwa chini yake. Huo uwenyekiti hakuupata kwa bahati mbaya. Ni mpango uliokwishaandaliwa. Magufuli kama kweli yuko serious basi tayari keshapigwa bao!!
 
Richmond ililetwa nchini kwa mara ya kwanza na Samwel Sitta mwaka 1996 ... Richmond/Dowans/Symbion ni mali ya USA waliomtimua Lowassa baada ya kujaribu kuvunja mkataba wake kama alivyovunja ule wa City Water ... Bwabwaz za Lumumba hawawezi kuyasema haya maana wamelishwa kasa ... only in Tanzania ...
 
Mwenyekiti Chenge. Hivi kweli kuna mtu anategemea scandal yeyote ya nyuma inaweza kupata nafasi ya kujadiliwa chini yake. Huo uwenyekiti hakuupata kwa bahati mbaya. Ni mpango uliokwishaandaliwa. Magufuli kama kweli yuko serious basi tayari keshapigwa bao!!
Hiyo ndo House of Cards....weka mbali na watoto.
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida na iliyomstua Mwenyekiti wa bunge Andrew Chenge.Mbunge wa CHADEMA ambaye ni mke wa Kafulila.

Ameibua sakata la Escrow kwa kumuliza Chenge" Inakuwaje TAKUKURU wamesisitiza kuwashughulikia wezi wa mali za umma na wale wa makontena lakini wezi wa Escrow hawajatajwa?

Swali hilo lilizua minong'ono baina ya wabunge huku Chenge akishikwa na kigugumizi kutoa majibu na kusema swala hilo sio la mwongozo.

My take: Wale mafisadi wa Escrow kama walidhani Kafulila kutokuwepo bungeni ni njia ya kuzima Escrow wamefeli mtihani.Walisahau Mke wa Kafulila ni mbunge na data zote anazo.
jizi limepewa bucha,ni tanzania tu jizi linapewa haki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom