Mke wa jamaa ananisumbua

Mke wa jamaa ananisumbua

bora umfadhili mbuzi utamnywa mchuzi; binadamu atakuudhi!
hivi human race imepotelea wapi? mara wenhine wamesomeshwa na hawamtaki ngumbaru aliewasomesha, mwengine kapewa na pete ya uchumba hamtaki lecturer tena! ngachoka!
 
Nilipofika hapa mjini nilikua sina ndugu,dah nikakutana na jamaa mmoja ambae tulielewana sana nilikaa kwake mda wa miezi 8 mpaka na me nipokua mwenyeji nikapata chumba changu za kupanga na nikaanza kuishi kwa kujitegemea me ka me..sasa cha ajabu mke wa yule jamaa angu simu kila siku anataka mapenzi nami,sasa nifanyeje?.

Huyo mwanamke ni wale walioolewa kupata title ya u Mrs, atakuwa na tabia ya kugongwagongwa nje ya ndoa. Hata kama wewe utamuacha jua kuwa wapo wengine wanaomtafuna nje ya ndoa, lakini kwa kuwa mume wake amekusaidia mpaka ukaweza kujitegemea sio vizuri kutembea na huyo mwanamke, tafuta njia ya kumpotezea.
 
Wewe utakuwa shoga unataka kupakuliwa tu unamtumia mke wa rafiki yako kama chambo ili jamaa akuparamie. Wewe mtu gani huna shukrani bana bora ufuge kakitimoto katakushukuru kwa hela na nyama baadaye kuliko kufuga kunguru kama huyu asiye na faida. Achana na mke wa mtu tafuta wa kwako mbona mademu kibao kitaa au domo zege.
 
Nilipofika hapa mjini nilikua sina ndugu,dah nikakutana na jamaa mmoja ambae tulielewana sana nilikaa kwake mda wa miezi 8 mpaka na me nipokua mwenyeji nikapata chumba changu za kupanga na nikaanza kuishi kwa kujitegemea me ka me..sasa cha ajabu mke wa yule jamaa angu simu kila siku anataka mapenzi nami,sasa nifanyeje?.
nipe mimi huyo maana hili baridi dar litaniua
 
Usicheze na ndoa za watu, yatakufika mabaya wewe shauri yako na hapa mjini yakikufika utajuta.

Mbona wanawake wako wengi sana, tena warembo kweli, unashidwa kuchagua wa kwako hadi utake mke wa mtu, tena rafiki yako, acha kulemaza akili, jifunze kusema No (hapana) na umanishe hivyo.
Hawa jamaa wameshaona hii ni fasheni, ya kuja kujitangaza hapa kwamba wametongozwa. Sidhani kama huwa wanakuja hapa kuomba ushauri kweli, nafikiri huwa wanataka show of, waonekana na wenyewe wamependwa na wake za watu. Mwanaume mzima utashindwaje kuwa na maamuzi? Shame on those who entertain this.
 
King'asti huu ni ufedhuli wa binadamu, binadamu salama wamekuwa adimu, fadhila uwatendee watakuachia fadhaa
bora umfadhili mbuzi utamnywa mchuzi; binadamu atakuudhi!
hivi human race imepotelea wapi? mara wenhine wamesomeshwa na hawamtaki ngumbaru aliewasomesha, mwengine kapewa na pete ya uchumba hamtaki lecturer tena! ngachoka!
 
UNA UHAKIKA AU UNAJIFURAHISHA TUU?
UONEKANE NA WEWE UMESEMA?:smile-big:
 
MANENO HAYO YAMEKUWA WEMBO!
TUNAIMBA KISHA TWANYAMAZA!
IMEKUWA KAMA MVUA ZA MASIKA!:smile-big::smile-big:
 
hiyo kitu hainaga makombo jamaa.. "we ka we" mgegede tu...halafu "we ka we" andaa 0713
 
Nilipofika hapa mjini nilikua sina ndugu,dah nikakutana na jamaa mmoja ambae tulielewana sana nilikaa kwake mda wa miezi 8 mpaka na me nipokua mwenyeji nikapata chumba changu za kupanga na nikaanza kuishi kwa kujitegemea me ka me..sasa cha ajabu mke wa yule jamaa angu simu kila siku anataka mapenzi nami,sasa nifanyeje?.


Eti, hivi ni kweli hujui cha kufanya?
 
Mtarasue fasta............................!:tape2:
 
Swali la kizushi, hivi ni kwanini hakuna mwanaume day?

Kwa sababu wanaume wana mchango kidogo sana katika jamii ndo maana huwezi kusikia kauli kama ukielimisha mwanaume........ au nani kama baba.....au mtu anasema baba yangu.....
 
Back
Top Bottom