Mke wa jamaa ananisumbua

Mke wa jamaa ananisumbua

By mapizi

Member
Joined
Mar 6, 2013
Posts
31
Reaction score
6
Nilipofika hapa mjini nilikua sina ndugu,dah nikakutana na jamaa mmoja ambae tulielewana sana nilikaa kwake mda wa miezi 8 mpaka na me nipokua mwenyeji nikapata chumba changu za kupanga na nikaanza kuishi kwa kujitegemea me ka me..sasa cha ajabu mke wa yule jamaa angu simu kila siku anataka mapenzi nami,sasa nifanyeje?.
 
Mwambie "nahofia usalama wa tigo yangu, tukinatana"
 
hebu ukuwe mkubwa alaah!kwanza ilikuaje ukampa shemeji yako namba yako?
 
Anakutaka au wewe ndo unamtolea mimacho?
 
Kwahiyo baada ya kufugwa 'we ka we' sasa umepata maisha yako unadhani kumla mke wa rafiki yako aliekulinda na kukujali mjini muda wote ndio zawadi na asante unayopaswa kumrudishia huyo rafiki yako.

Haya bwana, vyema kama una options katika hilo hadi unaomba ushauri. Mi sina cha kukushauri
 
Nilipofika hapa mjini nilikua sina ndugu,dah nikakutana na jamaa mmoja ambae tulielewana sana nilikaa kwake mda wa miezi 8 mpaka na me nipokua mwenyeji nikapata chumba changu za kupanga na nikaanza kuishi kwa kujitegemea me ka me..sasa cha ajabu mke wa yule jamaa angu simu kila siku anataka mapenzi nami,sasa nifanyeje?.

Usicheze na ndoa za watu, yatakufika mabaya wewe shauri yako na hapa mjini yakikufika utajuta.

Mbona wanawake wako wengi sana, tena warembo kweli, unashidwa kuchagua wa kwako hadi utake mke wa mtu, tena rafiki yako, acha kulemaza akili, jifunze kusema No (hapana) na umanishe hivyo.
 
Sidhani kama wewe ni minor kiasi kwamba usijue cha kufanya!

Haiingii akilini shemeji yako ana kutaka alaf unasema ujui cha kufanaya!

Basi jaribu kufikiri mema uliyotendewa na shemeji yako! Waache wengine wamfate lakini si wewe!
 
Mleta mada hata wanaoshikwa ugoni huwa wanaanza kwa siri wakidhani hawatajulikana,kazi kwako
 
We kweli mbwa,kama ungalikua mwanangu ni heri ningalibadilishana na mtu anipe hata kitoto cha nguruwe kuliko kuwa mwanangu IBILISI MKUBWA WE, umeshasahau fadhila ulizotendewa.

Je wakati unakaa kwa jamaa angekuomba 0713, ungemuonaje?:rockon::crazy::flock::iamwithstupid::A S 109::sad:😡:argue::A S-frusty:
 
Back
Top Bottom