Jenerali QoyoJB
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 304
- 160
Pole dr. Slaa, najua leo utalala kwa hofu, ila ujue huyo alikuwa mke wa mtu na bado wewe una maadui wengi wa kisiasa hivyo tunashindwa kuelewa ni majambazi wa njaa au wa njama na kama ni njama ni zipi, wale wa mume wa josephine au maadui wako wa kisiasa. Inahitaji tathmini ya kina.
Ushauri wangu kwa dk. Slaa na chadema. Slaa hebu funga ndoa haraka halalisha kama bado una nia ya kuwania urais wa nchi hii, pili chadema imarisheni ulinzi wa huyo mzee ana dhamana kubwa kwenu na kwa taifa hili, kumbukeni bila slaa viti vingi vya ubunge vya majimbo msingepata, mulizeni sugu bila slaa asingekuwa mbunge angeendelea kuchana mistari na kuibiwa cd zake, pili bila slaa viti maalumu vya ubunge msingevipata vile, mulizeni esta matiko, rose kamili na wengine wengi.
Ushauri wangu kwa dk. Slaa na chadema. Slaa hebu funga ndoa haraka halalisha kama bado una nia ya kuwania urais wa nchi hii, pili chadema imarisheni ulinzi wa huyo mzee ana dhamana kubwa kwenu na kwa taifa hili, kumbukeni bila slaa viti vingi vya ubunge vya majimbo msingepata, mulizeni sugu bila slaa asingekuwa mbunge angeendelea kuchana mistari na kuibiwa cd zake, pili bila slaa viti maalumu vya ubunge msingevipata vile, mulizeni esta matiko, rose kamili na wengine wengi.