Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,838
Sasa umenitafutia ugomvi na bidada hapo.Yani mie muoga sana aiseee hasa huyo mshana jrHahahahahahahaha lol! Huo sasa ni uchokozi na pia ni uchochezi ila umenifanya nimecheka sana. Kumbe muoga eh! hahahaha.
Hata kama mtamu aiseee huyo mtu siwezi muonja nisije jikuta niko juu ya bati bureeeYaani mshana jr ni mtamu acha kabisa, sasa niogope nini? Kwamba hana utamu au?
Mheshimuni huyo mama ni mtu wa watu, sio mwanasiasa, mwacheni.Ohoo! Kimbia hapo Mkuu,sasa hivi wataendelea
Matembele ni matamu kama mke wa Mkul.......
Ohooo! Mi sipo
unataka kumjaribu?Ohoo! Kimbia hapo Mkuu,sasa hivi wataendelea
Matembele ni matamu kama mke wa Mkul.......
Ohooo! Mi sipo
Eti mimi sipo wakati tunakuona hahahaOhoo! Kimbia hapo Mkuu,sasa hivi wataendelea
Matembele ni matamu kama mke wa Mkul.......
Ohooo! Mi sipo
Mkuu mi simo sijui kama una milioni saba..???[emoji134] [emoji134] [emoji134]Matembele ni matamu kama mke wa BALOZI ughaibuni [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Wala hauna mahusiano na kinachoendelea kusemwa sasa... Huu ni uzi wa mwaka jana