Mke raha jamani

Mke raha jamani

Sijawahi kuwa na mke ila sijawahi kumuomba msamaha mwanamke
 
Sijawahi kuwa na mke ila sijawahi kumuomba msamaha mwanamke
 
hujapata majaribu wewe subiri kidoogo ukileta uzi wa huruma bia usisahau maneno ya kwenye vitabu vitakatifu kuwa wanaume ishini na wake wenu kwa akili
 
Kwakwel neno nisamehe litoke kwa m'ume n kibarua kizito.. Ndio hapo minuno inaanzaga !!

Ha ha ha, wewe ukiona ni kosa na mimi nikaona siyo kosa kwa nini niombe samahani?

Samahani ni pale tu nitakapoona kuwa nimekosea, hafu samahani zenyewe zinatakiwa zitolewe chache sana ili ziendelee kuwa na faida.

Kuna watu ambao kila kitu wanaomba samahani, hata kama wamekosewa wao! Hii inavunja nguvu ya samahani.
 
Aisee unabahati ww jaribu kukaaa maeneno mazuri mazuri hivo hivo km uko dar usije ukapanga kijitonyama yale maeneo yetu au sinza zile zone zetu watambadilisha tuu awe navituko. Aisee uzidi kubarikiwa
 
Yani binadamu hatupendi kusikia taarifa nzuri za ndoa. Tunataka tusikie mabaya tu ya ndoa ndo roho zetu kwatuuu. Mtu akishukuru kwa ajili ya ndoa yake, utasikia tu "ndoa yako ina muda gani ", " subiri baada ya miaka 5 tuone " eeeeh. Mwaego shukuru tu kwa ndoa yako hata kama ina mwezi. Kuna watu wanaoana asubuhi jioni ndoa chaliii. Majaribu ni kawaida tu hata kwa ambao hawapo kwenye ndoa. Na asiyeshukuru kwa kidogo hata kwa kikubwa hatoshukuru. Mbarikiwe mwaego
 
acha kabisa hyo kijineno ina raha sana sometimes hata mtu anakuambia samahan hamaanishi lakini unajikuta umeanza kulegeza mnunoo,

kuna ile mtu anakusogelea hata kama umenunaje anakushika mkono anakutizama kidogo kama dakika moja then akuita jina lako, mke wangu, mpenzi n.k then anasema nisamehe/ naomba unisamehe najutia hili kosa sikustahili kukufanyia hivi najisikia moyo unajuta, tehtehteh akiona unazingua bado anakukumbatia closeeee anaongezea nisamehe please naahidi kujirekebisha aaaahhh weee utaishia tu alafu mi thipeendi unaniuzigi kama nini kwanini ulifanya hivyo niache huko wakati ushajichekesha tehtehteh( siri hyo nmewapa)

Hongera sana,mpaka nimetaman kama ungelikuwa my wife ningeringaje! Dah mme wako anajisifu kwa kuwa na mke hodari kama weye. Ama we ni wa Tanga kule mapenz yalikoanzia? Dah...! Nikitaka kuoa nitakutafuta unipatie mdogo wako. Ila mfundishe kwanza maujanja kama yako.
 
acha kabisa hyo kijineno ina raha sana sometimes hata mtu anakuambia samahan hamaanishi lakini unajikuta umeanza kulegeza mnunoo,

kuna ile mtu anakusogelea hata kama umenunaje anakushika mkono anakutizama kidogo kama dakika moja then akuita jina lako, mke wangu, mpenzi n.k then anasema nisamehe/ naomba unisamehe najutia hili kosa sikustahili kukufanyia hivi najisikia moyo unajuta, tehtehteh akiona unazingua bado anakukumbatia closeeee anaongezea nisamehe please naahidi kujirekebisha aaaahhh weee utaishia tu alafu mi thipeendi unaniuzigi kama nini kwanini ulifanya hivyo niache huko wakati ushajichekesha tehtehteh( siri hyo nmewapa)

Nitakutafuta umenikuna na kwa kua cjaoa utanitafutia mke mwenye mautundu.
 
Kama ndoa yenu imevuka 7 years na unakiri hivyo bad umeshinda, chino ya hapo baaaaado Sana hats kama mnafutana machozi kwa ulimi
 
Kipimo cha ndoa ni miaka 7 hapo kila MTU ameielewa vizuri tabia ya mwenzi wake na kuizoea kiasi cha kuchukuliana madhaifu. Hapo ndipo kipimo cha ndoa bora huanza
 
acha kabisa hyo kijineno ina raha sana sometimes hata mtu anakuambia samahan hamaanishi lakini unajikuta umeanza kulegeza mnunoo,

kuna ile mtu anakusogelea hata kama umenunaje anakushika mkono anakutizama kidogo kama dakika moja then akuita jina lako, mke wangu, mpenzi n.k then anasema nisamehe/ naomba unisamehe najutia hili kosa sikustahili kukufanyia hivi najisikia moyo unajuta, tehtehteh akiona unazingua bado anakukumbatia closeeee anaongezea nisamehe please naahidi kujirekebisha aaaahhh weee utaishia tu alafu mi thipeendi unaniuzigi kama nini kwanini ulifanya hivyo niache huko wakati ushajichekesha tehtehteh( siri hyo nmewapa)

mwaju we wa TANGAAAAA nn
 
Bado bado.. Katika hatua za Ndoa hapo ndio mpo katika mwisho Wa hatua ya kwanza.. Hatua ambayo mnakua na Mapenzi ya Motoooo.. Hilo Ni tera, Picha Linafata Hatua ya Pili... Utajutaaaa

Bado hajafikia hatua ya kupelekwa polisi.
 
Basi utakuwa umepata mwanamke muelewa sana na anayekupenda kweli. Mshukuru Mungu.

Omba Mungu pia asije kupata company mbaya...UTAJUTA HATA KUMSIFIA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom