Ebu acheni zenu.
Mbona hapa Dar kuna wanaume wengi wanawekwa unyumba na mwanake mmoja??
Midume mingapi hapa imepangishiwa na wanawake wenye fedha na inajuana kwamba inakula chungu kimoja??
Utasikia;
"Safari hii ya Nairobi naenda na mwenzio, sinilikwenda na wewe Afrika Kusini wakati ule?? Acha mwenzio naye akafaidi!
Nikirudi jiandae Lile zee nikifanikiwa kulichuna safari London."
Vijana wadogo kuuza mpini kwa mijimama yenye fedha ili ilipiwe gharama za kuishi ni kawaida tu Bongo.
Watu wasijifanye kushangaa
Jinsi wanawake wanavukuwa wasomi na wenye pochi wanaume tutaolewa hata wanne na mwanamke mmoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.