Mke mwenye vigezo hivi anahitajika

Kazi yangu biashara ndogo ndogo
Kipato kwa mwezi ni 150,000 ,tukiungana kitaweza ongezeka
Umri wangu miaka 35
Sina mtoto na sijaoa
Mrefu wa wastani na mwembamba

Sifa za mke

Awe 25 yrs na kuendelea
Asiwe single Mother
Rangi yoyote zaidi zaidi mweusi
Elimu isizidi diploma
Mwalimu atapewa kipaumbele ila sio lazima awe ameajiriwa au kuwa na taaluma
Kabila lolote


Nawasilisha

Unapata single maza anasababishq kipato kiwe milioni kwa mwez bado utakataa
 
Kazi yangu biashara ndogo ndogo
Kipato kwa mwezi ni 150,000 ,tukiungana kitaweza ongezeka
Umri wangu miaka 35
Sina mtoto na sijaoa
Mrefu wa wastani na mwembamba

Sifa za mke

Awe 25 yrs na kuendelea
Asiwe single Mother
Rangi yoyote zaidi zaidi mweusi
Elimu isizidi diploma
Mwalimu atapewa kipaumbele ila sio lazima awe ameajiriwa au kuwa na taaluma
Kabila lolote


Nawasilisha
Mm naamini wee una pesa 1.5m ndfdio maokoto yako hyo
 
I still don't understand kwanin watu wengi wanasema jamaa kazingua, kuweka kipato chake hadharani..
Wats wrong with that?
Mwenye uelewa anieleweshe
That is a trick maana yake mwanamke msaka pesa hapo hawezi kwenda. Najua mwenye akili ashaona hapo. Jamaa ana zaidi ya hiyo kwa mwezi sema kaweka hiyo kama chujio.

Soma maandishi yake. Anataka mwenye elimu ya ualimu. Maana yake anajua kuhusu elimu anataka kuanzisha mradi wa shule ya chekechea / nursery school ktk hicho kiwanja chake hivyo huyo mkewe atakuwa hapo nyumbani akifanya kazi.

Ndiyo maana kasema kama siyo mwalimu basi awe form four. Maana yake ana ramani kuzidi hiyo laki na hamsini aliyoisema hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom