Chum Chang
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 999
- 272
Habari wanajf. Mimi nimeoa na tuna watoto wawili ila mke wangu ni mkorofi sana mpaka nafikia hali ya kuwaza ameingiwa na nini. Yaani yeye anataka awe ndio muamuzi wa kila jambo ndani ya nyumba na ukiweka idea yako anaona eti una mdharau mnataka kwenda out basi time yake ndio ifuatwe na sio yako. Na Ikitokea mabishano ya hoja na kuona anashindwa basi atavunja kila kitu km TV, pasi, deck au hata simu anairusha ukutani na kuvunjika kwa hasira. Baada ya siku anasema tununue vitu vilivyoharibika. Sasa mm naona kama ni ukichaa huu, jamani wenye mawazo au maoni naombeni kwani nafikilia mambo mengi sana ya hii ndoa
Habari wanajf. Mimi nimeoa na tuna watoto wawili ila mke wangu ni mkorofi sana mpaka nafikia hali ya kuwaza ameingiwa na nini. Yaani yeye anataka awe ndio muamuzi wa kila jambo ndani ya nyumba na ukiweka idea yako anaona eti una mdharau mnataka kwenda out basi time yake ndio ifuatwe na sio yako. Na Ikitokea mabishano ya hoja na kuona anashindwa basi atavunja kila kitu km TV, pasi, deck au hata simu anairusha ukutani na kuvunjika kwa hasira. Baada ya siku anasema tununue vitu vilivyoharibika. Sasa mm naona kama ni ukichaa huu, jamani wenye mawazo au maoni naombeni kwani nafikilia mambo mengi sana ya hii ndoa
mmh! naona harufu ya pepo la ufilisi na uharibifu hapo.
Mwalimu naomba siku moja utoe mada/kitchen part kwa hawa dada zetu maana siku hizi ndan ya nyumba ni ubabe ubabe,hakuna mama wala baba,wenyewe wanasema hawatak kuwa submissive,yaan ni zaid ya kero!some men are not cheaters at first place,they are forced to cheat n nyumba ndogo kadhaa coz of kero kwa nyumba!kiukweli wadada wa siku hizi hawajui ndoa ni nin,wanaolewa as fashion,shule imewaharibu,na mama zao hawakuwafundisha jambo muhimu sana kwenye maisha yao (kuishi na mume na ku-behave as wife)...plz mwalimu hebu one day tushushie mistari,nafasi ya mama kwenye nyumba!
Habari wanajf. Mimi nimeoa na
tuna watoto wawili ila mke wangu ni mkorofi sana mpaka nafikia hali ya
kuwaza ameingiwa na nini. Yaani yeye anataka awe ndio muamuzi wa kila
jambo ndani ya nyumba na ukiweka idea yako anaona eti una mdharau
mnataka kwenda out basi time yake ndio ifuatwe na sio yako. Na Ikitokea
mabishano ya hoja na kuona anashindwa basi atavunja kila kitu km TV,
pasi, deck au hata simu anairusha ukutani na kuvunjika kwa hasira. Baada
ya siku anasema tununue vitu vilivyoharibika. Sasa mm naona kama ni
ukichaa huu, jamani wenye mawazo au maoni naombeni kwani nafikilia mambo
mengi sana ya hii ndoa
Kuna kusema prayer na kusali; ni vitu viwili tofauti! Anahitaji kufinguliwa (derivarance) huyo.
Ongea na mshenga wako mkae chini nyie wenyewe msortout mambo yenu ikishindikana shirikisha wazazi wako na wake ikishindikana mrudishe kwao akajifunze mwambie akishabadilika ndo atarudi
Pole kaka.
Mungu aniepushe na mwanamke wa namna hii kwa sababu ninavyojijua mimi, akimaliza tu kuvunja kitu na mimi navunja mkono apate utamu wa kuvunja.
Ila suluhisho lako ni la kiroho zaidi, shirikiana naye neno la Mungu haswa kuhusu nafasi ya mwanamke (Enyi wanawake watiini waume zenu...enyi waume wapendeni wake zenu).
Pili simama kwenye nafasi yako kama mwanaume,ni bora kuwa dictator kuliko kutumia demokrasia inayohatarisha usalama wako na maadili ya watoto.
haisaidii mimi nilikuwa napiga mpaka siku mmoja nikaona nitaua nililimwambia alipopona kuwa sitampiga tena na kweli sijawahi mpiga tena. Ila nilichoona ni kuachana naye akianza ubishi unaondoka hata kwenda kulala au kama sio hivyo unamkubalia anachosema tena yeye unampa majukumu yote. Ilifika sehemu akawa anang'ang'ania mshahara nikawa nampa afanye shooping ya matumizi ya mwezi lakini ikafika sehemu akakubali mimi matumizi yangu ni mazuri kuliko yake tangu siku hiyo huwa haulizii kuhusu mishahara akipata analeta tunaunganisha mimi ndie wakuongoza tufanye hiki na tuache kile. Kweli ninaendelea kumuombea kwa Mungu aendelee kutusaidia maana tulikuwa pambaya sana.