Unajua hasara ya kufanya mambo yako kimya kimya ikitokea umekufa ghafula kila kitu kinapotea,hata watoto hawatajua jiangalie upya na utafute njia ya kumuelimisha.Ulishawahi kuishi au kushuhudia mwanamke mbishi anajifanya anajua kila kitu yaani yeye ndio profesa,nabii ingawa lowkey unajua yeye ni bongo lala?
Unaishia kufanya mambo kimya kimya smart maana haelimiki na ajitambui kuwa mbishi baadae anajiona alipiga boko?
Unaanzaje kumdhibiti mtu mzima? Wanaume wengi wanajidanganya sana hapa, kama ni tabia yake hesabu umeumia. Vinginevyo haki sawa zitacheza na wewe.Ulishawahi kuishi au kushuhudia mwanamke mbishi anajifanya anajua kila kitu yaani yeye ndio profesa,nabii ingawa lowkey unajua yeye ni bongo lala?
Unaishia kufanya mambo kimya kimya smart maana haelimiki na ajitambui kuwa mbishi baadae anajiona alipiga boko?
Nadhani mwanaume si mbishi na ndiyo maana bado wako pamoja vinginevyo nyumba "ingeripuka kwa moto"!Itakuwa na wewe ni mbishi mkuu,
Maana wanasema mkiishi pamoja mnafanana mpaka tabia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ooooh. Ulienda kwa muraWatu wa mkoa wa Mara si wafupi lakini ni wabishi sana
Sikio la chini anazibuliwa ndio maana mbishi plus wivu. Mke wangu nimechelewa leo daraja lilivunjika.hakuna ulikuwa kwa wanawake zako.
Ulishawahi kuishi au kushuhudia mwanamke mbishi anajifanya anajua kila kitu yaani yeye ndio profesa,nabii ingawa lowkey unajua yeye ni bongo lala?
Unaishia kufanya mambo kimya kimya smart maana haelimiki na ajitambui kuwa mbishi baadae anajiona alipiga boko?