mjumbe wa bwana
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 5,282
- 6,162
Kuchepuka ni swala moja, ila kwa namna mleta mada anavyo elezea ni kwamba huyo mwenzake hajutii kutenda hivyo.We tangu umeoa huyo hujachepuka mkuu?na aliye msafi ampige mawe......kama jibu ni ndio.muache kama umewahi kaeni chini myajenge muonye
Yaani huyo Wa kuchinja tu.Mwache tu!
Balaa hilo!
Unless abadilike kabisa!
Lakini kwa sasa mwache tu!
Maisha yamebadilika sana Ndugu
Kamwe usijaribu kushika simu ya mwanamke umpendae au mke wako.
Kamwe kamwe usijaribu hicho kitu
Utakayo yaona humo yanaweza kukuadhiri kisaikolojia kwa muda wote wa maisha yako
Wanawake hawa wa kitanzania wa sasa wapo kwenye kipindi cha mpito cha kuiga vitu vinavyofanywa na wanawake wa kizungu. Ni katika kipindi hichi ndipo sisi wanaume tutaumia sana!!!!
Hiyo nayo point, badala ya kuoa wife material watu wanawaoa hawa mashankurupepe wa mjini wameshatembea na kila mwanaumeTatizo mnaoa watu amabao hamna uwezo wa kuwacontrol
OK, kwa upande wa dini ya kiislam siwezi kusema. Maana sijui Quran inasemaje kuhusu situation kama hiyo. Lkn kwenye ukristo inaruhusiwa kumwacha mwanamke ambaye ni mzinzi, na si kwa sababu nyingine yoyote.muslim
Huyo sio mke ila ni limwanamke limoja lishankurupepe ambalo halifai kabisa kuolewa hata kwa mahari ya bure, ndo umesharamba garasa hivyo, afadhali ndoa yako iwe ya kiislamu au boman unaweza ukampa talakaNimeoa muda mrefu sana na nilikua nampenda sana mke wangu, watoto wangu nilikua simfutilii hata simu yake sishiki.
Kuna siku nilikua najisikia vibaya nikawa sijaenda kibaruani yeye akaenda sokoni domini aliacha chaji ikawa inapigiwa sana jina linalokuja dada.
Kwakua huyo dada yake namjua jina nikapokea duh sauti ya kiume na akakata simu kucheki WhatsApp mke wangu kamtumia picha za ajabu uchi wa mnyama.
Sikumuuliza alivyo rudi akachukua simu yake akaona kuna mtu kapiga akatoka nje alivyorudi ananiuliza ulipokea simu yang? Nikamwambia ndio akanuliza kwa nini nipokee nikamjibu dada yako fulani alikua anapiga sana nikaona labda atakua na tatizo.
Akaniuliza umefungua WhatsApp nikamjibu ndio, alichoniambia ndio nachoomba ushauri kwenu. Eti nilichokitaka ndio nilichokiona tatizo nishamfukuza ila hataki kuondoka.
Msaada wenu
Unajua hawa viumbe huwa hawana ule ufahamu wa kung'amua kuhusu maisha yajao. Hawezi kujiuliza kwamba kesho nitakuwa wapi? Je, hiki ninachofanya nikigundulika, nikafukuzwa huyo jamaa atanipokea? Wao wanajua wakipigiwa miruzi mingi na kutongozwa huko nje anajua anapendwa.wachache wenye ufahamu wa namna hiyo wengi tunawaoa unakuta mtu kaficha mkucha yake.Kama huyu wangu hana wazazi wote washatangulia mbele ya haki alikua mpole lkn baada ya kua nae anajiona yuko sawa kupambana na mimi.Wanawake wengi ni 00000
Mwanamke akisha mvulia chupi mwanaume mwingine huyo si wako tena,na wala usitegemee heshima,upendo wala amani ktk nyumba yako.
Aende kwa aliyekuwa anamgonga. Si anapendwa shida iko wapi? Aende kwa jamaa. Mtoa uzi anamchekea sana. Huyo anatakiwa kipigo mpaka akimbie mwenyeweOndoka wewe.unataka aende wapi