Mke malaya, nimfanyaje?

Hongera mkuu umefanya vizur

tatizo lugha
 
Mi pia lazima nikague cm ya mke wangu,lazima nijue naish na mtu wa aina gani sio anajifanya ananipenda kumbe anampenda mwingine aende huko kwa ampendae.

tatizo lugha
 
ETI TATIZO HATAKI KUONDOKA,HAPO NI KWAKO AU KWA MKE WAKO?,HEBU JIBU KWANZA HILI THEN NIKISHAULI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ETI TATIZO HATAKI KUONDOKA,HAPO NI KWAKO AU KWA MKE WAKO?,HEBU JIBU KWANZA HILI THEN NIKISHAULI

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu nguvu aijengi na aujui nani alikua anampa kibri ningetumia nguvu ningekua jela mkuu ila matatizo yasikie tu!ila waswahili wanasema ukijua hivi wengine wanajua hivi
 
Endelea kuvumilia mpaka siku akija kukuua kwa ngwengwe, mfe wote. Hayo ndio mahaba
 
Umeoa jini hilo, yaani mke wako ana makosa badala ya kutetemeka hadi kujikojolea ndio kwanza anaanza kukuuliza maswali kwanini umeshika simu yake...

Na kama hataki kuondoka piga hadi toa jino ndio atajua kuwa hutanii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulis
mkuu nguvu aijengi na aujui nani alikua anampa kibri ningetumia nguvu ningekua jela mkuu ila matatizo yasikie tu!ila waswahili wanasema ukijua hivi wengine wanajua hivi
Ulisolve vipi hili swala mzee..maana haya mambo ya mahusiano kila siku darasa
 
Mkuu mwache
 
Mi yamenikuta hayo ila nilivyiona asikii siku nikamweka chini nikamwambia naomba kesho uondoke uende kwa jamaa yako naona hapa hauko huru kwanini uteseke kuishi na usie mpenda?kesho nenda kwa jamaa ili moyo wako uridhike pia hiii itaepusha majanga huko mbele na watoto naomba uende nao kwasabu mi nitaishi kisela huku nikitafuta mwanamke mwenye bikra sitaki kurudia kosa nilolifanya kwako kuoa mwanamke ambae kashatobolewa na mtu mwingine sahiv nataka nimuanze mwenyewe ,dah basi niliona ghafla anatetemeka kwa barid huku akiomba msamaha na akaniambia kuanzia leo chukua cm yangu ukae nayo siitaki nikakaa nayo siku 2 nimemrudishia kwakweli amebadilika ila bado simwamini imani kwakw imetoka kabisa.

tatizo lugha
 
 
Kuna mijitu mipumbavu sana yani mi niwe mnyonge? Hapana

tatizo lugha
Yawezekana nguvu nayo ikajenga ila niliangalia athali za nguvu unataka saa ningekua nimelele hahaaahaaaa
 
Unafikisha miaka 60 halafu unambiwa watoto wa 5 siyo wako. Hapo lazima ufe kwa presha. Tunaishi mara moja tu kwahiyo inabidi tuwe makini kwa kile kilicho mbele yetu
Mi pia lazima nikague cm ya mke wangu,lazima nijue naish na mtu wa aina gani sio anajifanya ananipenda kumbe anampenda mwingine aende huko kwa ampendae.

tatizo lugha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…