TabletFellow
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 918
- 272
Wakuu, hii kitu imenitatiza kidogo
Jirani yangu hapa huwa anakula mkong'oto wa nguvu sana toka kwa mumewe hadi anakwenda hospitali, lakini jamaa huwa anakuja na kuyamaliza kwa kuhonga cash kwa huyu dada
Katika hili ni nini nafasi ya pesa?? na je kwa mtindo huu, itashangaza huyu bibi akiwa mama muuza?
Jirani yangu hapa huwa anakula mkong'oto wa nguvu sana toka kwa mumewe hadi anakwenda hospitali, lakini jamaa huwa anakuja na kuyamaliza kwa kuhonga cash kwa huyu dada
Katika hili ni nini nafasi ya pesa?? na je kwa mtindo huu, itashangaza huyu bibi akiwa mama muuza?