kadogosakado Member Joined Jun 8, 2011 Posts 35 Reaction score 3 Jun 11, 2011 #1 Inasikitisha mke kukimbia mume baada ya kuona kaishiwa lakini huyohuyo mume kahangika hadi alipo ni halali ushauri,maoni
Inasikitisha mke kukimbia mume baada ya kuona kaishiwa lakini huyohuyo mume kahangika hadi alipo ni halali ushauri,maoni
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Joined Feb 4, 2009 Posts 76,579 Reaction score 161,430 Jun 11, 2011 #2 kimjini mjini poa tu, ndio challenges tulizo nazo wanaume
Meritta JF-Expert Member Joined Apr 26, 2011 Posts 1,303 Reaction score 295 Jun 12, 2011 #3 yakawaiida hayo hpa mjin
Kaka Mpendwa JF-Expert Member Joined Jan 10, 2008 Posts 772 Reaction score 415 Jun 12, 2011 #4 ma'swagga said: yakawaiida hayo hpa mjin Click to expand... kukimbiwa siku hizi imekuwa kawaida?
M Mwambigija New Member Joined May 26, 2011 Posts 4 Reaction score 0 Jun 12, 2011 #5 No money,no honey! Ndo hali ya sasa ndugu.
Dr Lizzy Platinum Member Joined May 25, 2009 Posts 31,010 Reaction score 60,472 Jun 12, 2011 #6 Mtu anakimbia na watoto anawaacha huko huko!!Ndo matatizo ya wanaume kuingizwa mkenge wa kuoa vitegemezi...siku ukiishiwa hunaye tena!!
Mtu anakimbia na watoto anawaacha huko huko!!Ndo matatizo ya wanaume kuingizwa mkenge wa kuoa vitegemezi...siku ukiishiwa hunaye tena!!
Husninyo Platinum Member Joined Oct 24, 2010 Posts 24,167 Reaction score 10,226 Jun 12, 2011 #7 Wanawake wengi siku hizi uvumilivu 0.
chapaa JF-Expert Member Joined Feb 19, 2008 Posts 2,349 Reaction score 206 Jun 12, 2011 #8 Maisha yanakoelekea siko kabisa watu wameshachanganyikiwa! sio kitu ya kawaida hata siku moja,maadili yamekuwa zero. Kaka Mpendwa said: kukimbiwa siku hizi imekuwa kawaida? Click to expand...
Maisha yanakoelekea siko kabisa watu wameshachanganyikiwa! sio kitu ya kawaida hata siku moja,maadili yamekuwa zero. Kaka Mpendwa said: kukimbiwa siku hizi imekuwa kawaida? Click to expand...
DZUDZUKU JF-Expert Member Joined Nov 8, 2012 Posts 3,931 Reaction score 2,141 Mar 14, 2014 #9 Anakutia akili ili utafute zaidi sio kukaaa kaa tu.