NyaniMzee
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 396
- 727
- Thread starter
- #41
Ni mke wa ndoa! sms ametuma nikiwa kazini wala sikuhangaika kuijibu maana angeweza kunieleza hilo ana kwa ana. Nakusikiliza ChapaaHuyo ni mke au hawara?! umesema alikutumia sms inamaana hamuishi pamoja? na kama mnaishi pa1 ulipomuuliza alikujibu nini?muongozo ndipo nione namna ya kukusaidia.