Mke kazidi mizaha

Alivosema acha kusali uongo pale pale unambirua unavuta chupo yake pembeni wala humvui ili shavu la kushoto lionekane,kama futa lipo karibu unapaka kwapapuchi pembeni ya chupi umasokomeza dushelele we call it Fucking not sex na wanawake wengi wanapenda hiyo kitu.
 
Basi muache uje uniwowe me sitakutania mkuu. Kikubwa shoo tu🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Hapo nilipo pa nukuu ndo penyewe....Nime imagine....
Dah hapa jf ukisoma comment unaweza kudhania wewe peke ako ndo una bahati mbaya kukutana na wanaume type ya ajabu.... kumbe saa ingine ni comments
 
Hiyo nyumba au kambi ya vyombo vya usalama?
Msifanye wake zenu wakose huru kwenu. Mmeishi miaka mingi kukiwa na sintofahamu mkae muongee
 
Hapo nilipo pa nukuu ndo penyewe....Nime imagine....
Dah hapa jf ukisoma comment unaweza kudhania wewe peke ako ndo una bahati mbaya kukutana na wanaume type ya ajabu.... kumbe saa ingine ni comments
Mi ni kweli lakini na practice nachokisema
 
Mbona simple,ulivyomaliza kusali ilipaswa umshike sikio moja ulizungushe kwa kulifinya huku unamwambia taratibu kuwa ni uongo gani ninao sali,baadae ungeenda kulala na sio kwenda nje
 
Me nimemtania niliye mnukuu kwamba ameandika kijentoman tofauti na uhalisia wa maisha yake nje ya mtandao
Uliyemnukuu ni Mimi mama na ndio najaribu kusema nilichoongea ndio ninachokiishi
 
Kosa utafanya kwa mwanamke ni kumpiga na ukijua mtaendelea kuishi pamoja siku zijazo.

Ukishampiga tayari anakuwa ameshakuona dhaifu, upo easily triggered, na una temper ya kitoto, plus u lack control.

Wanawake wanawaheshimu wanaume wenye pesa na nguvu ila wanaheshimu na kumuadmire zaidi mwanaume mwenye self control kwasababu ni jambo adimu sana kwa mwanaume kuwa nalo na ndilo utambulisho wa uimara wa nafsi.

Mwanamke huwa anataka kumcontrol mwanaume kila sehemu zaidi ni kumcontrol nafsi yake ili amshike kila pahali.

Sasa unapokasirika anajua ameshakumudu na ataendelea kukutikisa hadi ulie.

Usihangaike kumuonyesha hasira sababu wao hitafsiri kama madhaifu. Kuwa mtu wa maamuzi ila yasiyo na jazba.

Mfano kama hapo ungeendelea kusali zako ukamaliza halafu ukaamka na kumjibu kwa utani kuwa subiri na wewe usali nisikilize utakacho mwambia MUNGU. Kisha unaendelea na kulala. Mwanamke hana jeuri mbelenya mwanaume anayejicontrol.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mimi hapo, ningejitahidi kuzuia hasira halafu naenda nje kushusha pumzi kisha narudi nampa gemu moja matata kama tunaigiza porn.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkeo hana tatizo na wewe kabisa ile ni hali ya kuweka utani ili kuimarisha upendo ndani ya nyumba, ila wewe ndio kenge unataka upigiwe magoti uogopwe.
 
NDIO tatizo la vijana kuoa bila ya kukomaa kibusara na kuwatambua vizuri watoto wa kike..

-kila mmoja ajue mipaka yake na nafasi yake kwa mwenzake

-utani hautakiwi kuwa mwingi baina ya wanandoa

-kila mmoja asimamie majukumu yake na kutambua nafasi yake ndani ya ndoa

-kuambizana pale mmoja anapokosea

-lazima muwe mmejuana mapungufu yenu kabla ya kuoana,ili utakapojifunga ndani ya ndoa Basi unakuwa unajua unaenda kuishi na mtu wa aina gani na mapungufu yake ni yapi...hi haitakupa stress Kama ulizonazo

-kusameheana muhimu,hutokea binaadamu kukosea ..

-usimsimange mwenzako kwa mapungufu yake Hali ya kuwa ulikubaliana na mapungufu yake mpaka mkaamua kuwa pamoja

-mwenye nazo nyingine
 
mimi nilijua kajamba kwa sauti wakati mnakula na wageni!!!mizaha kama hiyo ni jambo la kawaida sana na ndilo limewafikisha miaka hiyo 10, unataka muwe serious kama mnatunga kitabu... malizia tumboni hayo mbona madogo sana, akiliwa je?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…