Mr Mayunga
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 313
- 40
Afisa mkubwa wa serikali anayeish mjini moshi,ingawa alikua na makazi pia arusha i.e. Ana mke na watoto wa 3.mwaka juzi aliamua kuamishia familia yake arusha,ili yeye awe anakwenda mwisho wa wiki.Siku 1 katikati ya wiki aliamua kwenda kwake arusha,njiani akanunu mboga(nyama) ili awapelekee wanae wakale.Kufika nyumbani (arusha) alimkuta mzee mwenzake ndani ya chumba na mkewe,mwanamke akawa mkali kwanini ameenda siku hiyo.Mwanaume akamuita mwanae akampa ile nyama aipeleke jikoni,alafu yeye akaondoka.Huku nyuma yule mwanamke akaichukua ile nyama akaiwekea sumu ya panya,alafu akaipeleka police na kushtaki kuwa mme kaileta.Mpaka sasa kesi inaendele,Hivi ni kwanini huyu mwanamke amekuwa mkatili hivi.