mzurimie
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,143
- 3,626
Kuzaa kwa kisu haimaanishi atazaa tena kwa kisu. Kuzaa kwa kisu hakuna muda najua hata waliozaa watoto wakiwa mwaka na kitu au miaka miwili. Cha muhimu ni uamuzi wenu.
Na kama unazaa kwa kisu incase scars hazijapona basi huko mbeleni kuna labda kuzaa kwa kisu tena. Kisu wanashauri mwisho kukatwa mara nne as mascar yanajiweka kila baada ya kisu na inakuwa hatari zaidi pa kukata kuingia kumtoa mtoto.
So kwa kesi yako mie nadhani kuna tatizo, hakuna mwanamke alie ndani ya utamu wa ndoa atatoa sheria ya miaka 5 ndo nitazaa tena, unless anadhani scars zitakuwa zimetoka ndio azae kikawaida ila kwa dunia ya sasa na maisha ya kula ovyo mtu huwezi jua kama hata utaweza kuzaa au hata kushika mimba tena.
Wanawake wengi wanazubiri baraka za Mungu, wengi wanalilia kids hawapati hata mimba.
Ongea nae ujue tatizo kubwa nini, I hope haendi nje maana dunia ya siku hizi wanawake wetu wa bongo wanatabia mbaya na ya kujisahau.
Au alipozaa mtoto ulimwangaliaje? Ulimpa memory ya kujuta why na wewe au?
Nimeandika mengi kwa mifano tofauti.
Na kama unazaa kwa kisu incase scars hazijapona basi huko mbeleni kuna labda kuzaa kwa kisu tena. Kisu wanashauri mwisho kukatwa mara nne as mascar yanajiweka kila baada ya kisu na inakuwa hatari zaidi pa kukata kuingia kumtoa mtoto.
So kwa kesi yako mie nadhani kuna tatizo, hakuna mwanamke alie ndani ya utamu wa ndoa atatoa sheria ya miaka 5 ndo nitazaa tena, unless anadhani scars zitakuwa zimetoka ndio azae kikawaida ila kwa dunia ya sasa na maisha ya kula ovyo mtu huwezi jua kama hata utaweza kuzaa au hata kushika mimba tena.
Wanawake wengi wanazubiri baraka za Mungu, wengi wanalilia kids hawapati hata mimba.
Ongea nae ujue tatizo kubwa nini, I hope haendi nje maana dunia ya siku hizi wanawake wetu wa bongo wanatabia mbaya na ya kujisahau.
Au alipozaa mtoto ulimwangaliaje? Ulimpa memory ya kujuta why na wewe au?
Nimeandika mengi kwa mifano tofauti.