Mke hapigwi mwanaume unapata wapi ujasiri wa kumpiga mke

.....
IMG-20200119-WA0001.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna asiyepigwa ikiwa atashusha heshima ya Mwanaume.

Huyo Mungu tuu atakusamehe nambo yote lakini sio kumshushia heshima yake.

Unapigwa na wakwe wakija wanachezea
Saf Sana..ndo maana wangu kashika adabu japo sijawah kumtia mabanzi..ila anajua akijichenga hatoachwa.

NB sijaoa

ARUSHA KWETU
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom