Mke atoa mimba

Katoa mimba kaona mtoto aweza fanana nawe nawe huna sura nzuri ati
 
Ulivyo muuliza yeye kakujibuje??

Every thing happen for a reason.

Muulize Kwanza, ujue sababu ni nini kisha ulete merejesho.

Btw kulipa mahari, hakuhalalishi ndoa. Ndoa ni either mfunge kanisani, msikitini au kimila.
Kama ametoa mahari si Ndiyo ndoa ya kimila hiyo? Maana kimila wao wapate chao kama ni ng'ombe, au pesa, pombe na vikorombwezo vyake basi huyo ni mkeo halali kimila.
 
Ngoja apone
Unasubiri apone kwani unatumia nguvu?

Wewe anza kufatilia sasa kimya kimya hakuna cha kupona, zidisha tu upendo huku unachimba kuanzia kwenye mawasiliano yake na rafiki zake humo humo utamnasa tu
 
Uyo ni muungwana kaona siyo YAKO kwa nn akubambikie.
KAZI ni kipimo cha utu
 
Huyo hatua ya pili ni kukutoa wewe.
 
Kaona matunzo yatakushida maana unasuasua
 
Zinamtosheleza una uhakika?
Wamama wanaotoshelezeka huko mbona ni rahisi mwaka mtoto, mwaka mimba. Na anafurahia 🤣
Yupo ndugu yangu mumewe ni mkorofi sana, lakini akishabeba mimba anamtreat kama malkia, kila atakacho jamaa anakifuata. Hivyo nakubaliana na wewe Mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…