Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,883
- 155,859
Nina mwaka wa kumi sasa kwenye ndoa. Nilifunga ndoa ya Kikristo miaka kumi nyuma.
Nimekuwa mume bora kwa kipindi chote hicho. Sikuwahi kuchepuka wala kudanganya, lakini mke wangu amekuwa akinisingizia mambo ya ajabu kabisa.
Wadada wote wa ofisini amekuwa akiwapigia simu na kuwatukana sana, Hadi nimekuwa kituko na gumzo ofisini, kisa wivu wake wa kimapenzi.
Sasa usiku huu mnamaanisha imekuwa Ni kasheshe, ananituhumu kutembea na mke wa Mchungaji.
Sasa kwa moyo mmoja, nimeamua kutafuta mwanamke mwenye tabia zote mbaya. Mtukanaji, mvuta sigara na bangi, awe ni mtu kulewa, anywe hata ngumu kumeza, yaani awe chakaramu kabisa.
Namuhutaji wa hivyo, nitampa chochote anachotaka kilicho ndani ya uwezo wangu.
Nimekuwa mume bora kwa kipindi chote hicho. Sikuwahi kuchepuka wala kudanganya, lakini mke wangu amekuwa akinisingizia mambo ya ajabu kabisa.
Wadada wote wa ofisini amekuwa akiwapigia simu na kuwatukana sana, Hadi nimekuwa kituko na gumzo ofisini, kisa wivu wake wa kimapenzi.
Sasa usiku huu mnamaanisha imekuwa Ni kasheshe, ananituhumu kutembea na mke wa Mchungaji.
Sasa kwa moyo mmoja, nimeamua kutafuta mwanamke mwenye tabia zote mbaya. Mtukanaji, mvuta sigara na bangi, awe ni mtu kulewa, anywe hata ngumu kumeza, yaani awe chakaramu kabisa.
Namuhutaji wa hivyo, nitampa chochote anachotaka kilicho ndani ya uwezo wangu.