ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 23,596
- 56,845
Ni long distance relationship Kwa Mara ya kwanza ananitumia meseji kuniuliza kwamba anipe umbea? Yaani eti baba ntu nikupe umbea? Duh kuijibu ikabidi niweke⏸ kwanza hii imekaaje ndo mahusiano yalivyo kupeana umbea tena.