Kumbe na wewe ushaoza wengi kama mie? Kina mama mnaambizana "baada ya kikao cha send off tukutane dakika chache tujadili maandalizi ya kitchen party". Ha ha haaaaaa! Eti mbu wa Msimbazi!
ah mi wananiudhi bana!imagine vile vikao vya ijumaa,mtu umechoooka una mideadline kibao ofisini,na wiki ndo ishaisha ,foleni kibao,akini huendi kwako huyoooooo Msimbazi kwenye kikao!basi mbishanee weeee mkishamaliza cha sendoff mnakaa pembeni mwendeleze cha kirchen party,basi mnakaa tena !na nafkiri unafahamau mbu wa Msimbazi walivo makini!lakini ndo upendo wa Agape tena!tunajitutumua weee!mpaka vikao vinaisha!send off yenyewe ni Alhamis utajijua mwenyewe unatoka kazini sa ngapi unaenda kwenye party.hapo jumapili ndo ulienda kwenye kitchen party home hata kufua hujafua na jumamosi yake ndo harusi na shogako ndo kashaomba umsindikize tena ukweni!
hujakaaa miezi miwili oh binti karudi nyumbani kisa mume anang'ang'ania remote ya TV!
KUMBAF!
amroweke kwenye beseni,Ha ha haaaumhame mume kisa mchafu? Kwa nini asimloweke kwenye beseni? Wakati wanaoana hakujua? Hizi ndoa za sasa zimerogwa? Ana lake jambo
Ndoa ina raha na karaha, na makosasa madogo2 hucyoyategemea yanaweza yakaiweka ndoa ktk wakat mgumu au kuivnja kabsa. Nije kwenye point ilonileta jamvin...
Bishost kamuhama mumewe chumban kwa madai kwamba mumewe mchaf.! Anafanya v2 raf mara mswaki kauweka juu ya tv, cku hiyo akibrash via2 brash anaikuta ju ya redio, akitoka kuoga kopo na brash kitandan. Akitoka alikotoka 1 kwa 1 kitandan bla kujal mchaf au lah. Kitanda kinageuka beach kimejaa mchanga. Mdada wa wa2 ana mtoto anaogopa mwanae kuumwa mafua na rashes. Kajitahd kumnawisha mume lkn wap! Akitoka akirud kaz ileile. Mdada wa wa2 anabadirisha mashuka twice per day. Na mume akilala km anafanya mashndano ya kukimbia riadha kitandan, mara mto aukute chin mara shuka lote alikusanye alilalie. Wakilala wote upande wa bishost 2 ndo unakua salam. Kaongea kachoka, kamnawisha lakin wap? Kaamua kuama chumba yeye na mwanae kwa mume anaingia kutandika 2. Anavyodai awali hakua hvy sasa cjui ndo mazoea yamezd au anamkomoa? Nimemwambia amwambie m2 anae heshimiana sana na mumewe may b atamuelewa au ataona aibu na kujirekebsha. Otherwise dada wa wa2 atateseka hana hausgel na ana mtoto kufanya kaz 1 mara kumi kumi inaboa lol... Na kumtenga chumba yale mambo mengne watapeanaje? Ndo mwanzo wa mech za nje.
Jaman kuwen makin vile vtabia vnavyokera wenz wenu jitahdn mviache!
Nawasilisha.
Huyu shoga yako si bure kuna anakopata "huduma nyeti" ndiyo maana anakuwa na kiburi cha kumhama mme chumbani.kaloweka kachoka. Na kumuhama hilo nalo neno nimemkomvis arud hatak.
Daaah ni kweli kabisa huu ni uchafu kutoka kwenye damu! Ila kwenye kulala na jembe hapo hahahaha nimecheka sana!
Tunajua kabisa huyu dada kwakweli ana teseka sana lakini hii njia anayo tumia sasa inatamuuza pia! Hapa ancho fanya ni separation ! Ange tumia njia nyingine lakini si hii kwani ana hatarisha ndoa yake kabisa!
amroweke kwenye beseni,Ha ha haaa
umhame mume kisa mchafu?
Kwa nini asimloweke kwenye beseni?
Wakati wanaoana hakujua?
Hizi ndoa za sasa zimerogwa?
Ana lake jambo
Mjini hadithi haziishi...ila ilo la kumloweka limekaa poa sana...sijawahi kulowekwa. I can imagine!!
Come to me, you will get it all
Tena bila gharama kabisa, sihitaji jaccuzi la milioni ili wewe upate raha ya kujiloweka kwenye maji moto
Nina beseni kuuubwa la simba plastic, linatosha hata watu wazima watatu.
Note: Mdalasini, karafuu, pilipilimanga, karoti na pilipili hoho vitahusika kunakshi nakshi maji
Huduma ya 'home made wine' inahusika pia, kwa ajili ya kusuuza koo wakati unalowekwa, taarabu za asili nitakuimbia, chezeiya Konnie wee
Kama huna kisosa wine itakuwa haina kazi...angalia usihamasishe mashambulizi ya kweli halafu ukayakimbia yatakapopiga hodi.
He he he, hujui raha ya tumbo eeh?
Hukutika kama mto ule, ujirisherushe hadi basi