malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 2,781
- 2,720
Habari wakuu nimekuja kwenu taka ushauri mama watoto wangu mke namuhudumia kwa kila kitu atakacho cha ajabu amekua akifanya biashara kisirisiri ya kupika mandazi afkeki na kupeleka kwa wenye maduka wamuuzie