Naomba ushauri, mimi ni kijana miaka 28 mke wangu umri huo pia, tumeanza kuishi pamoja 2012 baada ya kumpa Mimba.
sasa mwenzangu ni jeuri kiasi na ana wivu sana na sim zangu.
Shida kila wakati ataka tuachane, kwasasa anadai ndugu zangu hawampendi na pili mimi ninawasiliana na wanawake sana.
Anataka tuachane tuna watoto 2, nimekua nikimuomba aachane na hayo mawazo kwa muda Sasa.
Naomba wenye uzoefu nishauri nifanyeje?
sasa mwenzangu ni jeuri kiasi na ana wivu sana na sim zangu.
Shida kila wakati ataka tuachane, kwasasa anadai ndugu zangu hawampendi na pili mimi ninawasiliana na wanawake sana.
Anataka tuachane tuna watoto 2, nimekua nikimuomba aachane na hayo mawazo kwa muda Sasa.
Naomba wenye uzoefu nishauri nifanyeje?