Mke ana besi

bora mume ana sauti nyororo na mke ana besi..

wangekuwa wote wana besi,ukipita dirishani ukisikia sauti wakati wa mambo

unaweza jikuta unasema astaghfirullahi....ukifikiri vidume vitupu vinabanjuana....
 
Wandugu nishakuwa na jirani yangu mke ana sauti nzito kweli kweli na mme ana kasauti kepesi tu, mwanamke ameumbika vizuri sana tu ila hiyo sauti ya besi ndio hoja yangu. Ukiwa unapita nje halafu wao wako ndani wanaongea, inachanganya!

Hivi kama mwanaume unajisikiaje kuwa na mke mwenye sauti nzito kinoma wakati wewe sauti ya pili!? Najua ni maumbile hawajitakii, lakini je wajikiaje? Na miguno yake pengine hata wakati wa shughuli ni besi pia.

Mtamu sana huyo!!
 
I think anyone can turn what is perceived to be a disadvantage to their advantage..., actually I like to listen to Maya Angelou, or when Halima Speaks (Though not bass but unique voice) I tend to listen.., You know that individuality.. thats what makes a person who she/he really is (complete package) I dont think Maya would be Maya with Whitney Houston Voice..
Oh yes! I have Maya's CD collection of poems and as she recite 'phenomenon woman' awwwww it sticks! I don't think I would have paid attn to it if the same poem is read by any other voice...!! Respect madam angelou
 
Kipi bora, besi au kigugumizi stammer?

Mkuu again hata kigugumizi unaweza ukakitumia kwa advantage yako mfano Mbunge wa Mwanza Wenje anacho lakini ukiona hotuba zake huwa anaongea kama anacheza yaani ana-swing (kwahiyo hii inakuwa kama swagga), therefore ukitumia vizuri disadvantage mambo yatanyoka.

mfano wa famous people ambao wana Stutter:-
Kenyon Martin, Nicholas Brendon, John Stossel, Byron Pitts, James Earl Jones, Carly Simon, Mel Tillis, Alan Rabinowitz, Robert Merrill, Winston Churchill, Marilyn Monroe, Ken Venturi, Bob Love, John Updike, King George VI, Frank Wolf, Lewis Carroll, Bill Walton …
 
Mkuu again hata kigugumizi unaweza ukakitumia kwa advantage yako mfano Mbunge wa Mwanza Wenje anacho lakini ukiona hotuba zake huwa anaongea kama anacheza yaani ana-swing (kwahiyo hii inakuwa kama swagga), therefore ukitumia vizuri disadvantage mambo yatanyoka.

mfano wa famous people ambao wana Stutter:-

VoR I think tukianzisha 'who wants to be a millionaire' utafika walau kwenye 32K ama sivyo?
 
VoR I think tukianzisha 'who wants to be a millionaire' utafika walau kwenye 32K ama sivyo?
Thanks for the Compliment,

Anyway they have got the ones which you can go as pairs am sure i would like to be beside you if not I will put you on the phone the friend list....
 
kigugumizi kina levels. kuna kile cha kuongea mpaka upige mguu chini na wakati mwingine unagahiri kabisa kusema. nasikia watu wa hivyo wana hasira hasa ukiwacheka.
 
Sioni shida yoyoute ya mwanamke kuwa na base. kwani basi inakula mtu.

what's the matter with you.
 
kigugumizi kina levels. kuna kile cha kuongea mpaka upige mguu chini na wakati mwingine unagahiri kabisa kusema. nasikia watu wa hivyo wana hasira hasa ukiwacheka.

Ni kweli Mkuu lakini je unajua kigugumizi unaweza ukajifunza kuongea kikapungua, kwahiyo huko kupiga mguu chini labda ndio maana wenje akiongea ana-swing.., pia muangalie Gordon Brown (ex PM England) ukimuona anaongea ni kama anavuta pumzi na kutoa maneno labda hiyo ndio jinsi yake ya kutoa maneno.., alafu inabidi mtu awe relaxed na sio anxious sababu hii itaongeza kigugumizi...,

Kwahiyo Mkuu kuna programs nyingi za kupunguza kigugumizi kuna huyu kijana Gareth Gates Alikuwa kwenye Pop Idol Uk alikuwa ana kigugumizi kibaya sana lakini alijifunza sasa anaweza kuongea vizuri muangalie hapa YouTube - Gareth Gates One of Us
 
Yes there you are ndugu, hiyo sauti ya mwanzoni ya Barry White, sikilizia hapo ndio demu wako ana sauti kama hiyo na kwa kitanda pia

Mkuu watu wenye sauti za Barry ni wachache hata wanaume wenyewe ni wachache wenye sauti kama Barry..., Lakini unajua sauti nayo ni package ya mtu yaani identity yake kwahiyo hata uzuri wake ni hio sauti pia mfano cheki huyu hapa chini
YouTube - Kathleen Turner Salutes Michael Douglas

Whats wrong with that?
 
Mkuu watu wenye sauti za Barry ni wachache hata wanaume wenyewe ni wachache wenye sauti kama Barry..., Lakini unajua sauti nayo ni package ya mtu yaani identity yake kwahiyo hata uzuri wake ni hio sauti pia mfano cheki huyu hapa chini
YouTube - Kathleen Turner Salutes Michael Douglas

Whats wrong with that?

Nimekubali mkuu kila mtu na mzuka wake ulipolalia, maana hata huyu jirani niliyemtaja kwenye thread wanapendana kweli kweli, pia nimepima na misimamo ya wachangiaji kwamba kuna besi za kike zinaleta mzuka, ila kwa mimi ni ile nyororo sauti. Thanks kwa picha/ video/mifano uliyoitoa
 
Hilo besi wewe ndio utakuwa unaona ni tatizo lakini sidhani kama mwenyewe linampa taabu, tena nina wasiwasi hilo ndilo lilimfanya amuweke ndani maana toka anamtongoza si alikuwa analisiskia? so kama alikuwa halipendi angempiga chini mapema, pole kwa kukwaza na besi la mke wa jirani, ukiona vipi hama tu bwana isiwe tabu..
 
Mkuu sijajua hiyo besi yake ni kiasi gani lakini sometimes sauti tofauti ni sexy mfano Maya Angelou, Toni Braxton..., sio besi as such lakini they are different, yaani ziko unique... hata ya Halima Mdee.., kwahiyo hata hiyo tofauti ina uzuri wake.

Namzimikia sana na sauti yake..............soo sexy!
 
Namzimikia sana na sauti yake..............soo sexy!

Kweli Mkuu kila kitu kinaendana na mtu mwenyewe.. Halima asingekuwa Halima bila ile sauti yake..., Just Imagine Halima na sauti ya Lady JD, nadhani hapo angekuwa amepungukiwa na sio kuongezewa...
 
Kweli Mkuu kila kitu kinaendana na mtu mwenyewe.. Halima asingekuwa Halima bila ile sauti yake..., Just Imagine Halima na sauti ya Lady JD, nadhani hapo angekuwa amepungukiwa na sio kuongezewa...


Her voice commands a certain type of attention and so alluring in it own form ..........unique!:roll:
 
Back
Top Bottom