Wana MMU,
Katika miaka yote ya balaa niliyowahi kupitia naona huu umechukua tuzo.
Nilijitutumua mwenyewe kumuingiza huyu bi dada ndani kwa kujiaminisha amekidhi vigezo ikiwemo umbo 'portable' ili iwe rahisi kwangu kumgegeda kwa kila namna.
Sasa yaliyonikuta ni majuto makuu - mwanamkee amefutuka na kuwa bonge kiasi cha kupoteza utamu wote, kitandani akikaa kama gogo, kugeuka tu shughuli, kiuno hakionekani yani shida tupu.
Hivi kwanini wadada uwa mnajisahau mnapoingia kwenye ndoa?! Acheni kubweteka na maakuli, hayo mambo yapo tu. Sasa hali kama hii mimi niishije?
Katika miaka yote ya balaa niliyowahi kupitia naona huu umechukua tuzo.
Nilijitutumua mwenyewe kumuingiza huyu bi dada ndani kwa kujiaminisha amekidhi vigezo ikiwemo umbo 'portable' ili iwe rahisi kwangu kumgegeda kwa kila namna.
Sasa yaliyonikuta ni majuto makuu - mwanamkee amefutuka na kuwa bonge kiasi cha kupoteza utamu wote, kitandani akikaa kama gogo, kugeuka tu shughuli, kiuno hakionekani yani shida tupu.
Hivi kwanini wadada uwa mnajisahau mnapoingia kwenye ndoa?! Acheni kubweteka na maakuli, hayo mambo yapo tu. Sasa hali kama hii mimi niishije?