Mke alimkasirikia Mama Mkwe wake

Mke alimkasirikia Mama Mkwe wake

Wanawake viumbe wabinafsi Sana.
Yaani hapa nawaongelea wote pamoja na wanaonihusu.
Mama/ndugu wa mwanaume siku zote ndio anakuwaga na shida.
Uchawi wa mama zetu wao ndio wanaujua.
Ila shemeji zetu waliooa dada zetu hawalalamiki.
Uchafu na shida za ndugu zetu ndio wanaziona Ila ndugu zao hawana shida.
Yaani ukiona unatekeleza anayoyaongea mkeo juu ya ndugu zako jua unahamishiwa kwao.
M
Mke wangu mambo yanayohusu familia nilikotoka hayamuhusu mpaka nimuambie.
Na Ni marufuku kuwajadili ndugu zangu au ndugu zake Kama haihushishi familia yetu wawili.
Mambo ya kwao Ni Yale na ndugu zake na Mambo ya kwetu Ni yangu na ndugu zangu.
Kama inatakiwa msaada wa kusaidia ndio tunajadili namna ya kufanikisha.
 
Tuwaangalie wazazi wetu kama walivyotuangalia tulipokuwa wadogo
IMG_1232.JPG
 
Back
Top Bottom