beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Mwanamke mmoja wa kijiji cha Emaondo, katika jimbo la Kakamega nchini Kenya amechoma nyumba yake moto baada ya mumewe kurudi nyumbani na mwanamke mwingine.
Inaelezwa kuwa tukio hilo lilitokea Jumatatu, ambapo mume huyo, Samuel Indeche, 25, alikwenda na mwanamke huyo nyumbani na kumtambulisha kwa mkewe kuwa huyo ni mke wake mpya.
Hata hivyo, mara tu baada ya wawili hao kuondoka, mke wa Indeche alichoma moto nyumba yao na kisha kutokomea pasipojulikana na hadi sasa polisi wanaendelea kumtafuta.
Indeche na mwanaye wa mwaka mmoja walilazimika kulala nje huku wazazi wa bwana huyo wakieleza kuwa kwa mujibu wa desturi zao, mtoto wao huyo ataendelea kulala nje na mwanaye kwa siku tatu mfululizo, ndipo atakapopewa hifadhi.
=====
A woman in Emaondo village, Kakamega County, on Monday burnt down her house after her husband brought home a new wife.
The woman’s husband – Samuel Indeche, 25 – is said to have showed up in the company of another woman whom he introduced as his new wife.
However, as soon as they left, his first wife torched their house before later fleeing and is presently being sought by police.
Mr. Indeche and his one-year-old son were reportedly forced to spend the night out in the cold.
Mr. Indeche’s parents, Francis Indeche and Paulina Amwayi, have since told Citizen Digital that – according to tradition – he and his child will spend three nights under a tree before they are allowed entry into any other house.
Source: Citizen TV
Inaelezwa kuwa tukio hilo lilitokea Jumatatu, ambapo mume huyo, Samuel Indeche, 25, alikwenda na mwanamke huyo nyumbani na kumtambulisha kwa mkewe kuwa huyo ni mke wake mpya.
Hata hivyo, mara tu baada ya wawili hao kuondoka, mke wa Indeche alichoma moto nyumba yao na kisha kutokomea pasipojulikana na hadi sasa polisi wanaendelea kumtafuta.
Indeche na mwanaye wa mwaka mmoja walilazimika kulala nje huku wazazi wa bwana huyo wakieleza kuwa kwa mujibu wa desturi zao, mtoto wao huyo ataendelea kulala nje na mwanaye kwa siku tatu mfululizo, ndipo atakapopewa hifadhi.
=====
A woman in Emaondo village, Kakamega County, on Monday burnt down her house after her husband brought home a new wife.
The woman’s husband – Samuel Indeche, 25 – is said to have showed up in the company of another woman whom he introduced as his new wife.
However, as soon as they left, his first wife torched their house before later fleeing and is presently being sought by police.
Mr. Indeche and his one-year-old son were reportedly forced to spend the night out in the cold.
Mr. Indeche’s parents, Francis Indeche and Paulina Amwayi, have since told Citizen Digital that – according to tradition – he and his child will spend three nights under a tree before they are allowed entry into any other house.
Source: Citizen TV