Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,690
- 20,451
Haiwezekani kwako, kwa wengine imewezekana! Kama umeshanunua hiyo jezi basi iuze, kama bado basi usinunue kabisa, maana kuna watu wanazigombania!Kiukweli hapo kwenye MO29 siyo powa, maana kuna watu watataka kuprint majina yao sasa hapo haiwezekani Tena.