<br />Kuna mawili:Hizo info si za uhakika au kuna ufisadi mkubwa sana. Nina taarifa za wanafunzi watz cuba na Algeria hawajafikia hapo, kwa hiyo hilo ni swala sensitive liangaliwe kwa ukaribu sana.
<br />Exchange students ni special case na kama fani wanazosomea ni nyeti hamna hatari yeyote. Tatizo linaeza kuwa upatikanaji na mchujo wa wanafunzi wenye kuna uwazi kiasi gani, otherwise hamna hatari.
Kwa kifupi exchange students ni kama ambassadors kwa taifa huko waendapo, na priveleges zao ni tafauti. Cha msingi ni kuondoa subjectivities kwene utoaji wa hizo nafasi, maana najua mara nyingi ni mambo ya chini ya kapeti na vijimemo.<br />
<br />
saa hizi mahitaji yetu makubwa ni umeme. Naamini huko Nchumbiji wanasomea namna ya kujaza mabwawa kwa nguvu zisizo onekana.
<br />Nilizozipata za uhakika kutoka huko nikwamba walienda huko badala yakushukia vyuoni wakawekwa hotelini kwa madai kuwa nafasi za vyuoni zimejaa. Walikopeshwa na bodi dola 250 kwa mwezi kwaajili ya chakula na malazi ila gharama zikaongezeka kwa dola 650 baada ya kuwekwa hotelini nakuwa dola 900 kwa mwezi kila mmoja. Wakatimba ubalozini kushinikiza serikali iwaongezee pesa bila mafanikio. Bill kutumwa tz serikali ikadai italishughulikia ila nimkopo wao. Wakakubali ila sasa yapata miezi mi 3 hawajalipiwa pesa hizo wakaandamana tena ubalozi kudai waondolewe wanapoishi wapelekwe chuoni kwani gharama nikubwa na pesa ya kujikimu mahitaji ya chuo wamenyimwa kwani serikali imeamua kuendelea kulipia wanapoishi wakati vyuoni ni kama dola 10 tuu kwa siku.