King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,677
- 68,646
Acha tu kosa pesa ujue tabia za mkeo.
Naona umeamka na pombe kichwani nenda kanywe hata bakuli ya supu ya utumbo wa mbuzi akili ikukae sawa kisha urudi kusoma ulichoandika na kama ukikielewa jipe thanks
Hahahahaaa! eti exileUnalishwa halafu unachepuka lszima upigwe exile
umeongea pointAcha tu kosa pesa ujue tabia za mkeo.
...Tumshauri MTU Tusiyemjua?? Angalau ungeweka dots hats tukaziunganisha wenyewe na tukajua tunamshauri Nani?
Ongeza nyama Mkuu...