Sioni haja ya kumplease, waskupangie namna ya kuandika. Binadam tuko tofauti sana, ukitaka kukidhi mahitaji ya kila mtu utajikuta unapoteza focus.Samahani mkuu wengine sio waandishi wazuri.. sorry kwa hilo
Story iko vzr,story haiwezi ikakosa mbwembwe,juu sio msiba,aya lete ya kwako...Story yako ni nzuri ila umeijaza vitu vingi ambavyo vingine ni unnecessary, mpaka story inakuwa ndefu na inaboa.
Unapoandika story humu usiandike kama unaandika kitabu, andika kama unaandika makala. Unahusisha vitu vya mhimu tu, mbwembwe za kujazia nyama piga chini.
Sijui nikala nyama, nikacheza disko nikapata vumbi, sijui akitembea haachi alama za unyayo ni unnecessary.
Yaan mzee baadhi ya jamaa wa humu,wana watu wao, hao wakitoa story basi hawahoji,hata km ndani ya xtory wataandikiwa chochote watakubali,ila atokeee MTU mwingine....aisee ...achana nao mwamba mi nimejifunza mambo lukuki kwenye hiyo xtory iko poa sana kakaWatu wa humu ni zaidi ya wajuaji aiseee.
Haya naitoa wapi?
Unajua story za kusimuliwa wewe?...A u unataka nikupe majina ya wahusika kabisa
Mkuu muwe mnapunguza ujuaji basi....na mbona nimeshamaliza yote
Brother nilisahau, lakini cheki POST namba 121 kuna mdau nilimjibu aliuliza Kama weweMkuu mbona hakuna sehem uliyomalizia jinsi yule mama alivyosaga ile 50k,nimesoma comments zote zijaona.
Big up sana story yako nzuri na inafundisha wanaoponda ujue ni wafuasi wa mambo hayo kwaio umebumburua dili zao
Mzee Temba...?!utajiri wa ndago upo sana..
mm kipindi nakua kuna mzee mmoja hv ni mchaga..jina lake linafanana na mwanamuziki mmoja hvi ambae wameshirikiana sana na chege chigunda kutoa pini nyingi kali(ana majigambo sana)
huyu mzee alikuwa na uwezo wa kawaida sana miaka hiyo ya late 90's...ghafla akaja kuzishika hela nyingi hatari na mpk sa hv yupo vzr sana..ana sheli c chini ya 4 nnazozijua
aliporomosha mjengo mmoja wa maana sana na baadae akajenga Sheli hapo hapo kwenye mjengo wake ukiwa unaenda MOSHI BAR(Ingawa kwa sasa hakai hapo)
Familia yake yote imeparanganyika..za chin chin ni kwamba alimtoa mama ake kafara(alimchizisha)
Una akili za kitoto sana, anyway ukikua utaifahamuKaa hivyo hivyo na dhana potofu utaishia kutoa story za wanaume tu. Watu wanapiga dili za unga, wengine majambazi akili ndogo wanadanganywa eti ni ndagu.
Asante mkuu,sabasaba ipi?Yaah huu ni mkasa wa kweli nimeleta watu wajifunze..sema humu wajuaji wengi.
Karibu sabasaba mkuu
...umevunja code mzeee?huyo huyo...Mzee Temba...?!
Hapana Niggah zipo hazikuuzwa..ni Kama huyu Requal kafupisha hiki kisa kuna stori ndefu hapo katikati hasa za majigambo ya huyu mama yao mzazi baada ya vijana wake kupata mali.Vipi kuhusu nyumba za pale kwao ziliuzwa nazo?
Magigi anataka ubunge?Hahah hata ukanda wenu hapo kiabakari wapo mbona mkuu...
Karibu umpigie kampeni wakuru magige achukue viatu vya mkono
Kila la kheri kwake! Prof.Ndio boss anataka ubunge
Si nasikia Mali za kiganga hazirithiki au mtu akikosea masharti zinapotea zote., Kwa nini hizo nyumba hazijauzwa Sasa?Hapana Niggah zipo hazikuuzwa..ni Kama huyu Requal kafupisha hiki kisa kuna stori ndefu hapo katikati hasa za majigambo ya huyu mama yao mzazi baada ya vijana wake kupata mali.
Na pia Shangazi yao pekee ambae ni dada yake na baba yao hakumgusia pia nilitegemea atamuweka...maisha ya kijijini uchawi mwingi sana ukikaa kizembe unaliwa kichwa na wajanja.
Na huyu mama mchawi ni kweli na yupo na kuna stori yake ndefu pia iliyofanya wakataka kuuana na mwanae wa kumzaa ambae ni Architect huko mwanza
Kuna uhusiano kati ya uchawi na utajiri mkuu?Hayo mambo hata huko mtwara yapo
Naona bora ule unaosemwaga wa punje unajitoa sadaka mwenyewe kuliko huu wa kumtoa kafara mtu mwingine ambae hahusiki.Kuna kitu shetani anashindwa mkuu?
Kwa wakristu Yesu aliahidiwa mali na utajiri woote.
Uchawi ni lifestyle wa shetani.