Mkasa ulionikuta COCO beach usiku

Aisee unauliza jibu?huyo alikuwa jambazi!...motor vehicle inspector ndo mwenya haki ya kukagua leseni yako!..kama kweli alikuwa askari angekuambia umpe kadi ya gari na kitambulisho chako aangalie majina ili kujiridhisha hilo gari hujaliiba hapo coco, alafu cha kushangaza hao askari wanakaa na wateja maeneo ya hapo coco wakati pembeni tu hapo kwa pinda watu wanakabwa saa moja usiku,aisee mungu wako mkubwa!
 
hivi kila mwenye gari ana bastola??!! coco beach kuna kitisho gani cha kusema huwezi kwenda huko na gari bila bastola??!!

Wewe saa mbili kwa sehemu za dar ni hatari, tena kwenye sehemu za starehe? wewe utakubali vipi mwanaume mwenzako anakuwekea bastola kichwani?
 

J.W.T.Z= Jeshi la Wakurya Tangu Zamani.
 

Kama majambazi wangekuwa wanajua hivyo wasingekuwa wanavamia watu.
 
coco huwa pamekaa kiizi izi nakumbuka nilinusurikaga hapo na janga flani hivi

panahitaji ukakamavu japo pan shangwe sana hapo aisee
 

Aseh issue hii ni kubwa zaidi unavyodhani. Hata ungeripoti polisi na wao wengestuka. Kawaida polisi siyo watu kukimbiia kutoa silaha kama wanadhaminia kutingisha mtu kwa ajili ya pesa.
 
ndugu majambazi pia husoma alama za nyakati polisi hawezi uliza leseni usiku wana maswali yao kwa muda huo, hiyo ilikuwa ni mis-target kiukweli alikuwa na nia mbaya ila kuna mazingira yalisitisha azma yake.

Jambazi aulize driving licence ya nini? labda alikuwa ni kichaa aliyetoroka hospitali.
 
mkuu sijasema jambazi nimesema raia mwenye nia mbaya kwani hata watoto, vibaka, vidokozi na wengineo sikuhizi wana bastola kwa akili nyepesi jambazi coco beach afuate nini?

Sasa hao raia wenye nia mbaya wanauliza leseni ya nini?
 
Next tym punguza ubish mkuu, uhai ni bora kuliko hzo lesen na mali zingine!
 
Msioamini ngojeni mpaka yawatokee. Mimi yalishanitokea kule karibu na wanakopakigi Wahindi. Ilikuwa mida ya usiku kama saa mbili nimeenda na baby wangu kupunga upepo. Wacha jamaa wa askari kanzu watokee na kutupa kesi ya ufuska!

Eti tulikuwa tunafanya ufuska ndani ya gari! Walichotaka kufanya ilikuwa kutupeleka polisi na kututoa magazetini. Ili kulinda goodwill yangu na ya yule dada, ili bidi zinitoke pesa nyingi sana.

Mpaka leo Coco sina hamu napo, japo naendelea kwenda but nimekuwa makini sana na mapozi ya hapo.
 
Uache kufanya ngono kwenye gari...nisamehe kama nimetafsiri vibaya hii story yako..siku nyingine wale vijana wa Shigongo watawapiga picha itakuwa aibu!
 
Aaahaaaaahaaaaaaaaa ................
Dah hili ni picha la kihindi tofauti yake staa ajafa ila ma.shu.zi tu kayamwaga
 
Uache kufanya ngono kwenye gari...nisamehe kama nimetafsiri vibaya hii story yako..siku nyingine wale vijana wa Shigongo watawapiga picha itakuwa aibu!

Hii ni kesi ya kubambikwa. Magest yote haya mtu unaanzaje kugegeda ndani ya gari. Tulikuwa tumekaa tunapunga upepo ndio tukapewa kesi!
 
Wewe ulibugi toka mwanzo alipoomba kuona leseni ungemwomba kitambulisho!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…