KAZIMOTO
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 1,073
- 324
Wanajamvi, hivi ni kwanini Marais wastaafu Mzee Mkapa na Mzee Mwinyi hawashiriki katika kumpigia kampeni Kikwete???!!!!!, kama sikosei tangu kampeni zimeanza sijawahi kuwasikia katika kushiriki kampeni za JK. kuna nini??
Nadhani ni kwa sababu kampeni za mwaka huu sio ngumu sana hawa wazee wangeachwa wapumzike. Mwinyi ana mika 86 na Mkapa zaidi ya sabini si umri mdogo huu kuwahangaisha. Nadhani wakihitajika wanaweza kuombwa kuongeza nguvu lakini ushindi bado unaelekea kuwa wa CCM.