Mkapa: Kuna mtu kanizomea?

Tuache longolongo toa list ya watu unaowafahamu wamefanya Mazuri zaidi ya Mkapa ili tuchambue.Hata kama ni wewe pia weka Jina lako hapa. Lazima tuwapambanishe atakayeibuka mshindi basi tumkubali
 
Wahaya wana msemo wa 'ki-utu uzima" unasema hivi: "Mwanamke akinajisiwa na asizungumze kwa mtu nani hatajua?" Hakuna. Habari za kunajisiwa zinasambazwa na yule aliyefanyiwa kitendo sio aliyetenda maana mtendaji anajua ana makosa hivyo hawezi kujichongea. Mzee Mkapa alishazomewa hapa Dar Es Salaam na wengi wetu tulisha sahau. Sasa anatukumbushia kuhusu Kuzomewa. Mkapa ameyakuza mwenyewe! Tutamzomea sasa.
 
Tuache longolongo toa list ya watu unaowafahamu wamefanya Mazuri zaidi ya Mkapa ili tuchambue.Hata kama ni wewe pia weka Jina lako hapa. Lazima tuwapambanishe atakayeibuka mshindi basi tumkubali
Hizo ndio analysis za kijinga, Ok kafanya mazuri. Jee hiyo ndio ticket ya kufanya ufisadi wa mali za watanzania? Alikuwa na shida gani kuiba wakati katiba inatutaka tuwatunze Maraisi wastaafu maisha yao yote? Pamoja na aliyofanya,hapa katulazimisha tumwadhibu kama mhalifu. Labda afe tuu, lakini itakuja siku serikali makini na itamwadhibu. Kosa la jinai halina ukomo.
 
Tuache longolongo toa list ya watu unaowafahamu wamefanya Mazuri zaidi ya Mkapa ili tuchambue.Hata kama ni wewe pia weka Jina lako hapa. Lazima tuwapambanishe atakayeibuka mshindi basi tumkubali

Hivi mkunga aliyeapa kufanyakazi yake kwa makini na maadili na kuifanya kweli kisha kuwa amelipwa alichostahili, lakini siku moja (ushetani/wivu/uroho) unampanda kichwani na kwenda kuua watoto wote aliozalisha utamhukumu kwa lipi baada ya kuwa amemaliza kazi yake??

Mkuu, hivi kuna kitu gani usichokielewa hapa? Hii thread inamwongelea yeye kama yeye kutokana na hotuba yake aliyotoa kwa wananchi. Threads za comparison kwenye performance zipo tele. Isitoshe tukianza kuongelea mambo ya performance inabidi ku-factor in mambo mengi - kuanzia hali ya kiuchumi duniani, population ya muda huo, uelewa wa jamii wakati huo na mengine mengi ambayo hayawezi kuwa sawa kila baada ya miaka 5 au 10 ya ngwe ya kiongozi.
 
Tuache longolongo toa list ya watu unaowafahamu wamefanya Mazuri zaidi ya Mkapa ili tuchambue.Hata kama ni wewe pia weka Jina lako hapa. Lazima tuwapambanishe atakayeibuka mshindi basi tumkubali

Naona pay roll inafanya kazi kweli kweli. Yote unayoona kafanya mazuri ndo yalikuwa wajibu wake afanye, na si fadhila kawafanyia watanzania.
Tunachoangalia ni je alitimiza wajibu wake kikatiba?
 
Tuache longolongo toa list ya watu unaowafahamu wamefanya Mazuri zaidi ya Mkapa ili tuchambue.Hata kama ni wewe pia weka Jina lako hapa. Lazima tuwapambanishe atakayeibuka mshindi basi tumkubali
1. Charles Keenja enzi za tume ya jiji la Dar.........
2. Mwaibula na madaladala .........
 
Tuache longolongo toa list ya watu unaowafahamu wamefanya Mazuri zaidi ya Mkapa ili tuchambue.Hata kama ni wewe pia weka Jina lako hapa. Lazima tuwapambanishe atakayeibuka mshindi basi tumkubali
Mkombozi,
Hawa watu wanaingia madarakani na wanaajiriwa kwa makubaliano ya kufanya KAZI ZAO kwa mujibu wa taratibu walizowekewa, hivyo kufanya mazuri tunzo lake ni mshahara na marupurupu mengine yaliyokuwemo ndani ya makubaliano. Wizi na Uhalifu mwingine wowote malipo yake ni JELA. Mkapa aeshalipwa kwa kazi zote nzuri alizofanya, tunachotaka kujua na kuhakikisha ni yeye atawalipa nini Watanzania kwa UOZA alioshiriki kuutenda kwa Taifa. sidhani kama tunahitaji Ligi na Point scoring table. Yeye aje clean kama alivyojiita na hili somo litafungwa.
 
He is the greatest Prezo ever, after mwalimu, no doubt about that, nobody is perfect bwana...bravo "ankal" Ben.....,
 
Tumezoea toka kwa viongozi wetu sisi na pia kuona kuwa ni lazima kuzomea kwa mkoa wa Iringa wana utamaduni wa kuwalaki viongozi wao toka siku nyingi hivyo sio ajabu
 
Cha msingi tusihukumu, mimi nimeangalia pamoja na mabaya aliyotenda lakini ametenda azuri mengi sana. Wengi waliopo madarakani hawawezi kuwa perfect 100%. Wewe mwenyewe jiangalie je uko perfect 100%? Mimi nawaeleza mkapa alifanya kazi yake vizuri sana. Kuzomewa sio tatizo hata malaika wanazomewaga na shetani. Sure I'm tell you guys, historia itahukumu, jamaa alichapa mzigo kweli kweli. Sasa tumezongumzia mabaya tu mbona mazuri hatuyasemi? Au dhamira yetu inatusuta? Unajua watu tusizungumze kwa kusikia vyombo vya habari tu, tuzungumzie pia vinavyoweza kuonekana kwa nacho pia. Tusidanganayane Mkapa alipiga mzigo sana, alikua hataki utani na kazi hata kidogo.
 
He is the greatest Prezo ever, after mwalimu, no doubt about that, nobody is perfect bwana...bravo "ankal" Ben.....,

ya "ankal" left behind a trail of despicable nasty things for Tanzanians!
 

Well, kama unaongelea mambo aliyofanya, ni kweli amefanya mengi mazuri. Lakili hili halim exempt kwenye machafu aliyofanya. BW ni mwizi na anatakiwa awe ndani as we speak!!
 

Basi inatosha mkuu, utatutia hasira zaidi yewoooooomi, uuuuuuiiii. Huyu jamaa asisubiri kuzomewa, atapigwa mawe.
 

Mkombozi,

Unachokisema ni kweli lakini bado kama Rais aliyemaliza muda wake lazima awajibike kwa madudu aliyoyafanya akiwa madarakani.
 
He is the greatest Prezo ever, after mwalimu, no doubt about that, nobody is perfect bwana...bravo "ankal" Ben.....,
In the name of ''NOBODY IS PERFECT'' watu huwa wanafanya madudu hata ambayo wangeweza kuyaacha kwa kutoweka tamaa za kibinafsi mbele...............

In the name of ''NOBODY IS PERFECT'' then maraisi waliopita na aliyeko madarakani WOTE WAZURI.......WAMETUFANYIA MAZURI...........
 
He is the greatest Prezo ever, after mwalimu, no doubt about that, nobody is perfect bwana...bravo "ankal" Ben.....,

jana (kilolo) the guy was so confident in the media mpaka nikajiuliza what's the move?? he was talking and looking at Hon. Hawa Ghasia like someone with immense authority! ... huyu jamaa has a huge presidencial confidence jamani ... linajiamini sana!


Later nikamwangalia mkulu wangu huko turkey ... duh utafikiria mjumbe wa kamati fulani ya Lundenga (no offense meant pls!) ... mkulu inabidi ajiamini na awe mkali bwana .... too boring!!

He has the POWER but it seems he has no AUTHORITY!!

MDBD
 
Yaani umesema utafikiri umeusoma moyo wa Mkapa unafikiri nini. Ufisadi unamnyima raha, apende asipende. Rekodi yake kubwa ni wizi na ufisadi utamlindaje?

Halafu anajifanya yuko busy wakati ameweza kuhudhuria vikao vingi vinavyomuhusu vya chama chao, lakini hajawahi hata siku moja kuhudhuria sherehe za 9 December, Mapinduzi au Muungano tangu atoke madarakani. Naona huupanga ubusy wake uangukie sherehe hizo.

Wewe endelea kuwa busy tu lakini ujuwe hata kama Watanzania hatutakuzomea ukweli tunaujua kwamba wewe ni mwizi na kuna ushahidi wa kutosha kuhusu hili na ulitumia muda mwingi wa madaraka yako kujitajirisha wewe, familia yako na ndugu na jamaa. Watanzania ni wastaarabu hivyo usijipige kifua kwa vile hujazomewa ukadhani tunafurahia utendaji wako ulipokuwa madarakani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…