Mkapa anaandaliwa kuwa rais

Mkapa anaandaliwa kuwa rais

juniormuk

Member
Joined
Aug 12, 2012
Posts
18
Reaction score
3
Kutokana na rasimu ya katiba kuruhusu waliokuwa marais kugombea tena urais, nafikiri haya ni maandalizi ya ukweli ya Mzee wetu Mkapa kuishika hii nchi tena.

Watumishi wa Umma wameonekana kulisubiria hili kwa hamu sana kwa kuwa kwa wakati wa uongozi wake aliwapa heshima na nchi ilikuwa na fedha.

Maoni yako tafadhali.
 
Huyu nzee nkapa akirudi ikulu lazima atafunguwa bonge la supa maketi pale magogoni.
 
Kutokana na rasimu ya katiba kuruhusu waliokuwa marais kugombea tena urais,nafikiri haya ni maandalizi ya ukweli ya Mzee wetu Mkapa kuishika hii nchi tena.
Watumishi wa Umma wameonekana kulisubiria hili kwa hamu sana kwa kuwa kwa wakati wa uongozi wake aliwapa heshima na nchi ilikuwa na fedha.
Maoni yako tafadhali.
Mkuu unaweza kuambatanisha na hiko kipengele kwenye rasimu kinachoruhusu rais mstaafu kugombea tena?
 
Kutokana na rasimu ya katiba kuruhusu waliokuwa marais kugombea tena urais,nafikiri haya ni maandalizi ya ukweli ya Mzee wetu Mkapa kuishika hii nchi tena.
Watumishi wa Umma wameonekana kulisubiria hili kwa hamu sana kwa kuwa kwa wakati wa uongozi wake aliwapa heshima na nchi ilikuwa na fedha.
Maoni yako tafadhali.

GOD forbids! Na wakati huu akirudi Anna Mkapa ndio atafanya mara kumi ya ile ya wakati ule. Useless nosense!
 
Mkuu unaweza kuambatanisha na hiko kipengele kwenye rasimu kinachoruhusu rais mstaafu kugombea tena?

Kwani katika katiba tuliyonayo sasa inakatazwa? Kwa uelewa wangu mdogo, rais msataafu hazuiliwi (Kikatiba) kugombea tena urais baada ya rais mwingine kuiongoza nchi kwa kipindi chake. Naamini ni UTARATIBU TUU na siyo SHERIA inayowafanta marais wastaafu wasigombee tena urais.
 
Kwani katika katiba tuliyonayo sasa inakatazwa? Kwa uelewa wangu mdogo, rais msataafu hazuiliwi (Kikatiba) kugombea tena urais baada ya rais mwingine kuiongoza nchi kwa kipindi chake. Naamini ni UTARATIBU TUU na siyo SHERIA inayowafanta marais wastaafu wasigombee tena urais.
Mleta mada kalileta hili kana kwamba hii rasimu ya katiba mpya ndiyo imelileta kwa mara ya kwanza. Nadhani ndio lililosababisha Ndibalema kuuliza
 
Last edited by a moderator:
Kwani katika katiba tuliyonayo sasa inakatazwa? Kwa uelewa wangu mdogo, rais msataafu hazuiliwi (Kikatiba) kugombea tena urais baada ya rais mwingine kuiongoza nchi kwa kipindi chake. Naamini ni UTARATIBU TUU na siyo SHERIA inayowafanta marais wastaafu wasigombee tena urais.
Soma tena katiba ndugu yangu.
Sura ya Pili, sehemu ya kwanza, 40 inasema.
"
(2) Hakuna mtu atakayechaguliwa zaidi ya mara mbili kushika​
kiti cha Rais.
"
http://www.tanzania.go.tz/images/katibamuungano.pdf
 
Mleta mada kalileta hili kana kwamba hii rasimu ya katiba mpya ndiyo imelileta kwa mara ya kwanza. Nadhani ndio lililosababisha Ndibalema kuuliza
Asante kwa ufafanuzi. Lakini hata hiyo katiba ya sasa inakataa kwa mtu aliyekuwa rais kwa vipindi viwili kugombea tena.
 
Kwani katika katiba tuliyonayo sasa inakatazwa? Kwa uelewa wangu mdogo, rais msataafu hazuiliwi (Kikatiba) kugombea tena urais baada ya rais mwingine kuiongoza nchi kwa kipindi chake. Naamini ni UTARATIBU TUU na siyo SHERIA inayowafanta marais wastaafu wasigombee tena urais.

Kweli hapa huwa ni ustaarabu tu.
 
Asante kwa ufafanuzi. Lakini hata hiyo katiba ya sasa inakataa kwa mtu aliyekuwa rais kwa vipindi viwili kugombea tena.

Acha umbea bhana weka hapa tuone wenyewe kama mwenzako alivyofanya manake hata mleta uzi anabuni tu hakuleta kifungu hapa na kutufanya tuongelee mambo ya umbea tuuu
 
Leo jua kali sana sijui kwa nini?

kwi kwiiiiiikwi! Sio jua hilo mkuu,Siunajua M/Mungu mtukufu aliahidi sio dhambi zote atazitolea hukumu akhera zipo zingine ataanzia na hapahapa,Huo ndo mfano wa moto unaoenda kukutana nao tena hiyo ni kisehemu tu karasharasha ya adhabu Insh Allah.Moja ya mtu ambaye Mungu ameahidi kutomsamehe ni MNAFIKI.
 
Nakumbuka katika moja ya mahojiano fulani na vyombo vya habari wakati anamaliza maiaka yake kumi pale magogoni alisema amechoka uongozi anahitaji kupumzika kwani uongozi ni kazi nzito sana...

Labda kama uchovu umemwishia anataka kurudi tena ulingoni.
 
Nyumba za serikali na mashirika ya umma walisha maliza kuyauza. Safari hii sijui wakirejea akina nani watauzwa!
 
Back
Top Bottom